Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Kwenye simu nyingi za Infinix Kuna feature inaitwa ๐ ๐ฒ๐บ๐ณ๐๐๐ถ๐ผ๐ป umeshawahi kutumia? Je unaijua inafanya Kazi gani ? Leo nitakujuza
Kama ๐จ๐ป๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ Kuna feature inaitwa Memfusion kazi yake ni kukusaidia kuongeza ufanisi kwenye simu yako.
Inaitwa Memfusion ni feature ambayo inafanya Kazi ya kuongeza nafasi kwenye kifaa chako na kuifanya simu yako iweze kufanya kazi kwa ufanisi Zaidi kwa kuongeza ram.
Tuchukulie simu yako imekuja na Ram 8Gb alafu ukaongezewa 8Gb inakua jumla 16Gb kwaiyo wakati unatumia simu kwenye kazi Zako ufanisi wake unaongeza na kuwa imara Zaidi ivyo kuifanya simu yako kutumia bila kuganda Ganda.
Kwaiyo unajikuta unafungua program nyingi kwa wakati mmoja, pia unaweza kucheza Game bila simu kuwa nzito na kufurahia mchezo mzima.
Je Memfusion unawezaje kuipata kwenye simu yako ? Fanya hivi chukua simu yako
โข ingia setting
โข chagua storage
โข ingia kwenye Memfusion Kisha Enable
Utaweza kuongeza ufanisi kwenye simu yako ya Infinix na kufurahia performance wakati unatumia.
Umeshawahi kutumia hii feature au ndo unasikia Leo tuachie maoni yako?
#bongotech255
Kama ๐จ๐ป๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ Kuna feature inaitwa Memfusion kazi yake ni kukusaidia kuongeza ufanisi kwenye simu yako.
Inaitwa Memfusion ni feature ambayo inafanya Kazi ya kuongeza nafasi kwenye kifaa chako na kuifanya simu yako iweze kufanya kazi kwa ufanisi Zaidi kwa kuongeza ram.
Tuchukulie simu yako imekuja na Ram 8Gb alafu ukaongezewa 8Gb inakua jumla 16Gb kwaiyo wakati unatumia simu kwenye kazi Zako ufanisi wake unaongeza na kuwa imara Zaidi ivyo kuifanya simu yako kutumia bila kuganda Ganda.
Kwaiyo unajikuta unafungua program nyingi kwa wakati mmoja, pia unaweza kucheza Game bila simu kuwa nzito na kufurahia mchezo mzima.
Je Memfusion unawezaje kuipata kwenye simu yako ? Fanya hivi chukua simu yako
โข ingia setting
โข chagua storage
โข ingia kwenye Memfusion Kisha Enable
Utaweza kuongeza ufanisi kwenye simu yako ya Infinix na kufurahia performance wakati unatumia.
Umeshawahi kutumia hii feature au ndo unasikia Leo tuachie maoni yako?
#bongotech255