Recent content by new sheby

  1. new sheby

    Wanaume jamani naomba mtuache tupumue basi

    Pesa ndo kila kitu hata uwe na sura kama sokwe kama hela ipo utaoa hata muhindi
  2. new sheby

    Huyu mtangazaji wa tbc anafanana na nani!?

    Mbona ni mzee
  3. new sheby

    Orodha ya wabunge wanaotumia vibaya madaraka yao ya kibunge

    Unataka watu wote wawe na akili kama zakwako
  4. new sheby

    Rais Magufuli ni muumini sana wa "quantity" na siyo "quality"

    Mimi hua simuelewi kabsa huyu mzee na matakwimu yake hua anayatoa wapi
  5. new sheby

    Sakata la Sh.Trilioni 1. 5: Zitto kutoa maelezo mengine leo

    Atakuwa wapi maana anatafutwa
  6. new sheby

    Kuandika Tunajiweza Lakini Kutenda Hatujiweni

    Nina maumivu makubwa ndani ya moyo wangu
  7. new sheby

    Ni hatari Jeshi la Polisi kuzagaa mtaani

    Police wetu hawajazoea mikiki mikki matumbo makubwa wanacho jua wao ni kula rushwa na kubambikia watu kesi
  8. new sheby

    MKO POA WAKUU

    Msaada wa kiimani baba yangu leo ameniambia toka alivyo acha kwenda kanisani yapata miezi minne sasa anasema mambo yake yamekua mazuri mno sasa nimfanyeje ili amrudie muumba wake
  9. new sheby

    Tunakopesha na kuuza sola za majumbani

    Utaratibu upoje kwa anaeitaji kukopa hususan mkoani
  10. new sheby

    Tanzania ya Viwanda: Tumefikisha 49% ya lengo!

    Mimi mbona sielewi hapa nilipo mkoani sijaona hivyo viwanda zaidi ya vyazamani natena havifanyi kazi au wanamdanganya mkulu ati 49% mbona hizo ajira za viwanda atuja sikia zikitangazwa hapa mkoani
  11. new sheby

    Natafuta gari ndogo ya kukodi/Car for rent inapatikana kwa Mil 1.

    Kwa hiyo milion moja mafuta nikuwekee mimi pancha nikuzibie hata service nikufanyie mimi kwa miezi 3 siwezi kukupa tafuta pikipki hyo ndio itakufaa mkuu
  12. new sheby

    Picha: Rais Dkt John Magufuli akiombewa na viongozi wa Kidini baada kufungua Kiwanda cha Alizeti

    Aombewe ili afanye nini kama kuombewa anombewa kila siku anacho fanya hakionekani
  13. new sheby

    Ukakuzi wa magari madogo kwa Dar mbona kimya

    Hata moro bado sijaona uo ukaguzi
  14. new sheby

    Ujenzi wa Makanisa na Misikiti kwenye makazi ni kirusi kinacholelewa na Serikali

    Wewe ni mpuuzi ulita nyumba za ibada zijengwe porini izo kelele zinazo kuzuia usilale ni Kelele gani acha upuuzi
Back
Top Bottom