Msaada wa kiimani baba yangu leo ameniambia toka alivyo acha kwenda kanisani yapata miezi minne sasa anasema mambo yake yamekua mazuri mno sasa nimfanyeje ili amrudie muumba wake
Mimi mbona sielewi hapa nilipo mkoani sijaona hivyo viwanda zaidi ya vyazamani natena havifanyi kazi au wanamdanganya mkulu ati 49% mbona hizo ajira za viwanda atuja sikia zikitangazwa hapa mkoani
Kwa hiyo milion moja mafuta nikuwekee mimi pancha nikuzibie hata service nikufanyie mimi kwa miezi 3 siwezi kukupa tafuta pikipki hyo ndio itakufaa mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.