Recent content by new generation

  1. new generation

    Magari ya Hybrid yanayofanya vizuri Tanzania

    Mie natumia hybrids tu...nipo na prius mbili...pia kwakua mie ni DIY person....huduma zote nafanya mwenyewe..yaan ninafanya service mwenyewe ya mifumo ya hybrid
  2. new generation

    Car4Sale Vitz inauzwa

    Wakuu nauza gari yangu Toyota vitz Mwaka 2003/2004 Transmission automatic CVT Engine cc 1298 Colour silver. Ipo kwenye condition nzuri kabisa Tairi bado zipo vizuri. Air condition system ipo njema kabisa. Bei ni 6.3 mazungumzo yapo
  3. new generation

    Nahitaji Toyota Aqua au Prius

    Once ukianzq kuendesha hybrids, inatakuwia vigumu sana kutoka....kurudi kwenye gari za kawaida.. karibu kundini sie tupo huko kitambo sana
  4. new generation

    Wahadhiri wa vyuo vya Bongo lecture zote hutumia Kiswahili kwa 90%, mtihani wanatunga kwa Kiingereza tena cha misamiati mikali

    Because wanafun Kwasababu wanafunzi wengi hawana akili.. na wana uwelewa mdogo sana, na very low IQ
  5. new generation

    Gari za umeme pasua kichwa gharama za uendeshaji

    Mkuu, labda nikuambie ...hizi hybrid kwenye battery pack yake inakua na modules kadhaa mfano yangu inakuja na module (cell 28) zenye volts 7.2 zilizo ungwa in series na kutengeneza total voltages 201.6 (this is minimum voltage...na kuna kua na computer inayo monitor voltage ya every individual...
  6. new generation

    Gari za umeme pasua kichwa gharama za uendeshaji

    Unatisha watu wewe prius hizi tunazotumia bongo gen 2 na gen 3 bei ya battery haifiki 4.3m.... mie natumia prius toka 2017 kwanza sijawai pata changamoto ya battery wala nini. Pia battery yake ukienda pale garage ya Yokohama ya wajapan pale shaurimoyo (price ni 1.5m-2m) unapata every healthy...
  7. new generation

    Gari za umeme pasua kichwa gharama za uendeshaji

    Mie natumia full ev car na pia natumia hybrid car.....na nipo hapahapa bongo
  8. new generation

    SI KWELI Matumizi mfululizo ya vidonge vya Kuzuia ujauzito (p2) huondoa kizazi cha Mwanamke

    Kitu watu wanatakiwa kujua p2 inafanya kazi kwa ku extend time ya ovulation (yaan kusogeza muda wa yai kutoka kwenye ovaries kwa ajili ya kwenda kurutubishwa na mbegu).... Ila kama yai tayari limesha toka basi p2 haisaidii tena na mkifanya mapenzi na mbegu zikamwagikia ndani hata kama utakunywa...
  9. new generation

    Msaada ameyakanyaga Bank ya ABC

    Kwani kaisha saini offer letter? Kama haja saini hakuna haja yoyote yakuwaza kwakua hakuna contractual agreement between patties wa huo mkopo,...na kama kasaini ila disbursement haijafanyika aandike barua ya kisheria ku cancel hiyo loan kwakua purpose ya application ya hiyo loan hiapo tena...
  10. new generation

    Kati ya Nissan Qashqai na KIA Sportage utaenda na ipi?

    they are all junk cars... ila kila mmoja ana sifa zake.......ila kia zina muonekano mzuri kuliko nissan, ila KIA na mwenzake Hyundai wana changamoto ya quality ya injini so spea pia japo zapatikana kwa ku import.. kwa nissan qashqui ni nzuri pia ila kimuonekano KIA zipo njema...with nissan...
  11. new generation

    Engine ya gari kutoa sauti Kali unapopita kwa speed Kali kwenye rasta

    Isije kua gari ilizima kutokana na engine ku overheat... Yan pinging noise kwenye engine due overheating
  12. new generation

    Can we convert all our Vehicles to CNG Fuel powered? How to Convert Your Car To CNG Fuel Powered?

    Ukiwa hutaki hizi shida nunua gari hybrid rafiki...mie nipo na hybrid inanipa 25+km/l
  13. new generation

    Nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu

    Kacheck valvematic ya engini yako inaweza kua inashida... tumia scanning machine kujua why inafanya hivo ingawa kwa engine nyingi za sasa za Toyota zinakuja na valvematic na sio vvti, so valvematic motor ikifa engine inashidwa kua timed vizuri valve zake pale gari inapotaka more power from...
Back
Top Bottom