H20
Hahahahaha roho imesuuzika kabisaa maana kamwe blue haiwezi Kuwa Njano.... Mr.president Jana alikua anacheeka kuona watu wengi kumbe walikuwa wamekwenda kutazama show na kwa Habari zilizopo ni kuwa watu Walikua wanagombania kutoka ili wawahi magari ya wasanii yaliyokua yakitoka...
Unataka ajibu Nini haswa pale kama sio unafiki tupu eti anamuita Gwajima Mshenga na yeye Yale masharti aliyaweka Kama nan kama sio yeye ndio Alikua Mposaji
Tuwasiliane kwa taeatibu zaid nitakuelekeza vizuri na watafanikiwa ...ila kwanza ni ruby Gemstones ama ni ya kwenye mwamba karandam kama ile ya mpwapwa...??
Unajua hili swali kila asie na maono ya mbali analiuliza lakin ngoja nikujibu wewe ukawaambie na wenzako...LOWASSA ameingia upinzan kupitia CHADEMA lakin ukumbuke kwa mujibu wa vyama vyote vi4 kufanya maridhiano hvyo kuegemea upande wa CHADEMA pekee kwa kuvaa GWANDA ni kuonyesha hali ya kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.