Pole sana kwa unayoyapitia. Mwanaume mvivu ni sawa na kuishi na ugonjwa. Linda afya yako, hasa ya akili. Mlelee mwanao hata wakikuita single mother, wewe ndio unajua shida unazopitia. Inshallah Mungu atakufungulia milango ya mafanikio zaidi.
Pole kwa changamoto. Kama ukitaka kumtoa, basi uwe na mkakati (wa kiakili, kimwili, kimazingira na kiroho) wa namna utamrekebisha kikamilifu. Ila kama huna mkakati au uwezo wa kumrekebisha, basi muache huko (ila umjulishe kabisa kwa nini unafanya hivyo), sheria itachukua mkondo wake, atajifunza...
Wiping is Wiping my dear, wengine tunatumia magunzi na majani huku (
Ukianza kuhusisha matendo, mawazo au utashi wako na mambo ya kiroho (iwe imani ya dini au za jadi) basi kila kitu hubadilika, kuanzia fikra, mate ndo, maneno na hata utashi wako. Ambaye mambo yake yanaelea hana msingi wa dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.