Nabii Tito anatakiwa kusaidiwa kisaikolojia, achukuliwe apelekwe hospitali ya wagonjwa wa akili akatibiwe,
Kama amewahi kutibwa, si vibaya akae tena hospitali kwa wiki, miezi kadhaa chini ya uangalizi.
Vipi kwanza mkuu britanicca Mtu wa Brazil alienda kwa Jafrey Epstein wa Mashariki mwa bara, je alienda kusaini barua ya ku resign?
Na vipi kuna kiti kakalia kiko salama kiasi gani?
Na vipi hajapokea zawadi yoyote?
Hajapewa documents zozote?
Yupo salama kiasi gani?
Hisia zangu zinahisi Emma hayuko salama na hiyo safari, hicho kiti ni salama kwake kiasi gani?
Kwenye kupiga picha karibu na maua yale maua ni salama kwake?
Je hajanywa maji hapo kwa huyo Mzee?
👇👇 Picha zinatonitia mashaka na hofu ni hizi mbili, kiti na maua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.