Recent content by Neutral Man ZT

  1. N

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Hivi Jeffrey Epstein a.k.a Ayatollah wa Malawi na Team Vampire wa Mtendeni, kwenye kuchanga karata zao kwa Kombo waliramba dume au karasha? Wanajisikiaje walipomrambisha mchanga Maembe? Leo hii angeharibu km huyu Kombo au Nyirandu?
  2. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Vipi akiamua kwenda viwanja vya Mexico na Canada atazuiwa?
  3. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Mkuu huko Urusi ataenda na Magari?
  4. N

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Uchaguzi wa Tanzania 2025 ni vita vya kijasusi ya mashirika makubwa ya Ulaya, Amerika dhidi ya Russia na Mataifa ya kiarabu

    Ila wiki ijayo Malkia anaenda kufanya ziara Russia vipi kuegemea Russia ni nguzo madhubuti?
  5. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nilichokishuhudia kwenye maandamano: Serikali ya Tanzania imeshindwa vita

    Kikwete hana akili, mabavu aliyotumia kumpitisha Samia pale Dodoma 2025, angetumia kumpitisha Emmanuel Nchimbi yaliyotokea 29 Oct 2025 yangetokea?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    yoga kwa sasa anakula mema ya nchi, ana shea kwenye mgodi wa Msasa ana furahia maisha
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa la Tulia ni KIA !

    Humu ndani Kikwete ana account gapi?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    britanicca Bundi ataondoka lini kwa Taita?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Mkuu britanicca hii post yako inaakisi na Jobdi. Jenny Lopez. William Miles. Je Jalala jalala, Moyo Tulia, Pesa za mboga, ccm itabaki madaraka kwa nguvu ya dola, Diblo, Mipango ya Mungu, Philip Mafile, wako salama kiasi gani?
Back
Top Bottom