Recent content by Neutral Man ZT

  1. N

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Vipi Waziri Mkuu Mstaafu Kassim majaliwa Kassim yuko salama?
  2. N

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Hivi Member Tililah tila si account yake Mwingulu?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Nchimbi ananishangaza sana tena, Anajiamini vipi kila mwaliko anaenda? Huko Zanzibar anajiamini vipi? britanicca
  4. N

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Vipi wasiojulikana wamepita naye au maana account yake haionekani FB
  5. N

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Muulize Kikwete
  6. N

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Tito achukuliwe hatua za kisheria

    Nabii Tito anatakiwa kusaidiwa kisaikolojia, achukuliwe apelekwe hospitali ya wagonjwa wa akili akatibiwe, Kama amewahi kutibwa, si vibaya akae tena hospitali kwa wiki, miezi kadhaa chini ya uangalizi.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Mimi jana kanitia wasiwasi na umakini wake, anashindwa kwenda na kiti chake? Anakubalije kupiga picha kwa kuyasongelea vile maua mkono wa kulia?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Picha zenye mashaka na hofu
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Mkuu Emma amejiamije kukaa kwenye hicho kiti? Na vipi yale maua mkono wa kulia nayo ni salama kiasi gani?
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Black BackUp yapi hayo yanaenda kujili na ni lini?
  11. N

    JamiiForums Tanzania BANK-M mikononi mwa Firoz Bayi, Kutakatisha Pesa za wa siasa

    N Na utawaona humu wanavyojidai kukijua kiswahili, utadhani sentensi aliyosema Britannica hawajaelewa, Ila wanajitia ujuaji.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Bila kifo cha Magu, Bashiru alikuwa anaukwaa Urais kimzaha

    Vipi kwanza mkuu britanicca Mtu wa Brazil alienda kwa Jafrey Epstein wa Mashariki mwa bara, je alienda kusaini barua ya ku resign? Na vipi kuna kiti kakalia kiko salama kiasi gani? Na vipi hajapokea zawadi yoyote? Hajapewa documents zozote? Yupo salama kiasi gani?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Huyo mganga wa kenya yuko hai au? Alitabiri nini na lini?
  14. N

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Hisia zangu zinahisi Emma hayuko salama na hiyo safari, hicho kiti ni salama kwake kiasi gani? Kwenye kupiga picha karibu na maua yale maua ni salama kwake? Je hajanywa maji hapo kwa huyo Mzee? 👇👇 Picha zinatonitia mashaka na hofu ni hizi mbili, kiti na maua
Back
Top Bottom