Recent content by NEUROANATOMIST

  1. N

    Bachelor of law

    Soma tena nilicho kiandika tuliza akili.
  2. N

    Bachelor of law

    Nimemuelewa sana.Wewe ndo huku nielewa .Nimesema inawezekana kabisa .Ni ka mtolea mfano wa kawaida wa PCB kudahiliwa kusoma sheria na hata yeye na diploma ya clinical medicine inawezekana kabisa
  3. N

    Bachelor of law

    Open University of Tanzania ,wanakuchukua kusoma LLB na background yako hiyo. Kumbuka Dr.Faustine Ndugulie amesoma LLB na alitumia cheti Cha form six (PCB)
  4. N

    Niulize swali lolote kuhusu Anatomy

    Maswali haya hapa ujibu bila kugoogle ndo uelewe Anatomy niya moto sana
  5. N

    Rais Ruto wa Kenya amewakaribisha na kuwaahidi kuwapa wafanyakazi million moja Saudi Arabia, kinyume kabisa na Tanzania

    Unawapenda hao magaidi au Kwasababu umesomea shahada yako ya awali ya mawasiliano angani huko?
  6. N

    Kama Zanzibar, baada ya miaka mingi ya Muungano, iliamua kuunda Katiba yake na kuwa na Bendera yake, kwanini isiwe kwa Tanganyika?

    Nyongeza:Zanzibar wa code yao ya mawasiliano siyo hii +255 yao ni +259 .Hii ni nchi kabisa inayojitegemea kwa kila kitu
  7. N

    Kusomea Bachelor Degree ingine

    Namsuhukuru Mungu nilichomoka ,ulimweka paper lilikuwa gumu sana !!!Hapo darasa zima division II zilikuwa 2 !
Back
Top Bottom