Kutoka diploma ya science kwenda bach. ya arts au/na social science INAWEZEKANA.Wana jf kuna chuo chochote kinachopokea clinical officer (C0) kusoma shahada ya kwanza ya sheria.
Msaada mwenye kufahamu hilo
Open University of Tanzania ,wanakuchukua kusoma LLB na background yako hiyo.
Kumbuka Dr.Faustine Ndugulie amesoma LLB na alitumia cheti Cha form six (PCB)
Nimemuelewa sana.Wewe ndo huku nielewa .Nimesema inawezekana kabisa .Ni ka mtolea mfano wa kawaida wa PCB kudahiliwa kusoma sheria na hata yeye na diploma ya clinical medicine inawezekana kabisaAmeuliza kuhusu Diploma sio Form six.
Form six kombi zote wanaruhusiwa kusoma Bachelor of Laws vyuo vyote hata kama ni UDSM.
Soma tena nilicho kiandika tuliza akili.Ameuliza kuhusu Diploma sio Form six.
Form six kombi zote wanaruhusiwa kusoma Bachelor of Laws vyuo vyote hata kama ni UDSM.
Nimemuelewa sana.Wewe ndo huku nielewa .Nimesema inawezekana kabisa .Ni ka mtolea mfano wa kawaida wa PCB kudahiliwa kusoma sheria na hata yeye na diploma ya clinical medicine inawezekana kabisa
Soma tena nilicho kiandika tuliza akili.
Daaaaah!Acha kuonyesha ujinga wako mtoa mada anaulizia kuhusu Clinical Medicine sio PCB.
Je Open University of Tanzania wameiweka hio Diploma?
Jibu ni haipo.
Acha kuleta habari za PCB wakati umeulizwa kuhusu Diploma.
Stella Maris wao Diploma ya Clinical Medicine ipo kwahio anaruhusiwa kusoma Bachelor of Laws.
Hata kwa 2023/2024 Stella wanastahili kwa CO kusoma lawAcha kuonyesha ujinga wako mtoa mada anaulizia kuhusu Clinical Medicine sio PCB.
Je Open University of Tanzania wameiweka hio Diploma?
Jibu ni haipo.
Acha kuleta habari za PCB wakati umeulizwa kuhusu Diploma.
Stella Maris wao Diploma ya Clinical Medicine ipo kwahio anaruhusiwa kusoma Bachelor of Laws.
Sorry kwa 2023/2024 wanadahili CO kusoma lawHata kwa 2023/2024 Stella wanastahili kwa CO kusoma law
Sorry kwa 2023/2024 wanadahili CO kusoma law
Mnabishana Bure.Wote mmejibu swali Kwa usahihi na hamtofautiani kwenye jibu la msingi.Isiwe siku mbaya JF,kunradhi wasikilizaji.
Wadau niwashukurru stella Maria waamenidaahhili ngoja. Nikajikwamue kwenye lawNdio wanadahili wewe omba utapata kwasababu chuo hakina ushindani.