Kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake...nssf hata mimi nimejionea wana kamba ndefu sana! Kiukweli wanatesa sana kupata halali yako...kama umetoka mkoani lazima urudi nyumbani ukiwa huna hata ndala na hela huna...hili jambo liangaliwe kwa karibu sana...tofauti na hapo linatia doa kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.