Recent content by netin

  1. N

    Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

    Kumbuka kwamba ile ilikua ni proposal ya mkodiashaji na ile klabu ni ya wanachama na ndo mana bodi ya udhamini itaenda kukaa na kuangalia waweke terms za aina ganii na za kuinufaisha klabu...bado unaweza kusikia vitu tofauti ndo mana mpaka leo bado haujaskia chochote bdo ni ishu kubwa wala sio...
  2. N

    Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

    Unaongea utadhani umeuona mkataba..haujajua mkataba utakua na mambo yapi. bodi ya udhamina ya yanga sio wajinga kiasi iko waruhusu mkataba ambao hautaipa yanga mafanikio..tokea yanga imezaliwa inaendeshwa kwa hasara leo anatokea mtu anakwambia atakua anaweka 25% na hakuna hasara..manake ikiwepo...
  3. N

    Manji katutapeli Mbagala, Yanga kaeni chonjo

    Oyaaaa huo ni mpuyango OG fanya yako achana na ya yanga
  4. N

    Yanga kumtupa nje Manji na kugeuka kampuni

    Umepuyanga na haujui lolote..bora ungekaa kimya uwaachie wana yanga wenyewe..alafu sidhani kama unamfahamu manji vizuri..kesho angalia kitacho tokea pale..manji ndie anaeenda kupiga watu chini na sio yeye kupokwa timu..
  5. N

    Tatu bora mchezaji bora Europe, Messi aachwa. Mshindi kutangazwa Agosti 25

    Umepuyanga mkuu mesi.alikuemo ktk mchakato huo ila point hazikutosha
  6. N

    Kidume mzima unaanzaje kufanya birthday party?

    We nae umevurugwa aiseee..kama hauna pesa au hauwez kufanay birthday si ukae kimya..mtu anafanya na anaishi anavyoweza ili mradi asivunje sheria za nchi..umepuyanga mkuu..hauna hoja.
  7. N

    Elimu ya Kinywa: Usafi wa meno na kinywa kwa ujumla, sababu, kinga na tiba za harufu mbaya

    Kuna mtu wangu wa karibu sana amabe yeye hupiga mswaki kila asubui na anapolala usiku lakini hua anakua na harufu mbaya sana ya mdomo. Tatizo linaweza kua ni nini na anawezaje kupata tiba ya hilo tatizo mkuu.
  8. N

    Nafurahia mapenzi nikiwa na binamu yangu kuliko mume wangu

    Acha ujinga wewe..eti ooh sio akili yangu ni shetani.ivi wakati unawaza kuyafanya na uyo binamu yako si ungekua unafanya kazi zingine ili wazo na uyo binamu yako lisiwepo..utakua na laana wewe acha ujinga tena acha kabisa..
Back
Top Bottom