Wanasema ukitaka kuficha kitu kwa mbongo ni weka kwenye maandishi,
Na kwamba kuna wengi wanatamani sana kuongeza maarifa ila kuna changamoto hizi wanapata,
- kukosa muda wa kusoma vitabu.
- lugha changamoto sio kwamba hawajui kizungu ila ni kwamba "hawatak suluba ya kubabaika kuelewa"
nina...
Unapewa na Type C charge yake…
Nec versa pro👇
Intel Pentium/Core m3✅
Ram 4GB✅
Ssd 128GB✅
Processor 1.6GHz✅
Kioo inch 12.5✅
Ni nyembamba sana kama wembe✅
Port zote za msingi zipo mfano HDMI✅
Charge masaa 2 to 3✅
Kioo chake ni full display✅
Bei 300,000/= Tu📌
Ninafikiria wengi wetu hatujafundishwa jinsi ya kufikiri kwa kila tatizo au changamoto inayotupata.
Na kikawaida tupo hivi.
Kufikiria "tatizo lenyewe" na kisha "ni kwa namna gani ni ngumu kulitatua".
Unajua nini?
Ni aina hii ya kufikiria mambo ambayo inawafanya wengi wajione dhaifu...
Ndani ya biblia kuna mtu anaitwa Samson
Ni jamaa ambaye tangu utoto wake hakuwahi kunyolewa nywele na ilikuwa ndio siri yake kubwa ya nguvu kubwa,
Tena za ajabu,
Kila jambo ambalo lilifanyika dhidi yake ili kumshinda halikufanikiwa,
Lakini,
Siku ambapo chanzo cha nguvu zake kilipojulikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.