Recent content by Nestory Semeni

  1. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Huduma Hii Ya Kulisha Ubongo Itasaidia?

    Wanasema ukitaka kuficha kitu kwa mbongo ni weka kwenye maandishi, Na kwamba kuna wengi wanatamani sana kuongeza maarifa ila kuna changamoto hizi wanapata, - kukosa muda wa kusoma vitabu. - lugha changamoto sio kwamba hawajui kizungu ila ni kwamba "hawatak suluba ya kubabaika kuelewa" nina...
  2. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Jaribu Laptop hii tuone.

    Hizo sina mpendwa
  3. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Jaribu Laptop hii tuone.

    Unapewa na Type C charge yake… Nec versa pro👇 Intel Pentium/Core m3✅ Ram 4GB✅ Ssd 128GB✅ Processor 1.6GHz✅ Kioo inch 12.5✅ Ni nyembamba sana kama wembe✅ Port zote za msingi zipo mfano HDMI✅ Charge masaa 2 to 3✅ Kioo chake ni full display✅ Bei 300,000/= Tu📌
  4. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Nadhani kama tukiacha hili matatizo tutaweza kuyashinda

    Ninafikiria wengi wetu hatujafundishwa jinsi ya kufikiri kwa kila tatizo au changamoto inayotupata. Na kikawaida tupo hivi. Kufikiria "tatizo lenyewe" na kisha "ni kwa namna gani ni ngumu kulitatua". Unajua nini? Ni aina hii ya kufikiria mambo ambayo inawafanya wengi wajione dhaifu...
  5. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Unahisi kukata tamaa? Hili likusaidie upate nguvu tena

    Ndani ya biblia kuna mtu anaitwa Samson Ni jamaa ambaye tangu utoto wake hakuwahi kunyolewa nywele na ilikuwa ndio siri yake kubwa ya nguvu kubwa, Tena za ajabu, Kila jambo ambalo lilifanyika dhidi yake ili kumshinda halikufanikiwa, Lakini, Siku ambapo chanzo cha nguvu zake kilipojulikana...
  6. Nestory Semeni

    JamiiForums Tanzania Umri Unaenda Na Unakaribia Kukata Tamaa Ya Maendeleo?

    Yani ni hivi usikate tamaa wewe endelea kupambana muda wako unakuja na wewe utainuka kama wao.
Back
Top Bottom