Hapa umesema kweli,nakuunga mkono,ili wapinzani washinde,kuwe na tume huru basi,maana tume yote ni ccm halafu eti mshinde!wapi?mimi huwa nasema hata hao wapinzani wachache waliomo bungeni waliachiwa tu,ili tanzania ionekane nayo ina demokrasia,wakiamua nawambia wapinzani hawatapata hata mbunge...