Nimesikia dk anasema wataita wanasayansi waipime chanjo mbele ya waandishi wa habari
Sikutegemea dk aoongee ujinga kama huo
Hv unaweza kuipima chanjo mbele ya waandishi
Kwanza unapima nin?
Halafu waandishi unawaambia umeona nin
Kuna dawa nyingi TU tunazitumia zinaleta madhara baadae ya muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.