Recent content by Nephrone95

  1. N

    kiingereza hiki cha mtangazaji Kotinyo

    Uibomoi ndio nini Kiswahili TU kibovu
  2. N

    Lulu ajifungua mtoto wa kiume...

    Yaani!!!! Nimeumia jaman bado mdogo
  3. N

    Je, Warumi alijua kwamba atakufa?

    Kwani warumi kafa jamani Simjui lakini roho inaniuma sanaaa
  4. N

    Uandishi [uu] humetoka wapi?

    Nihende Mmenihelew Uhandishi Humetokeha Mm mpaka hapo nimechooka
  5. N

    Ukimya wa Bernard Membe

    Alikuwa anaandaa baraza la mawazir
  6. N

    Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

    Kuna watu Wana vyeo vikubwa kichwani hamna kitu Vyeo vyenyeww vya siku hizi vya kujuana
  7. N

    Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

    Nimesikia dk anasema wataita wanasayansi waipime chanjo mbele ya waandishi wa habari Sikutegemea dk aoongee ujinga kama huo Hv unaweza kuipima chanjo mbele ya waandishi Kwanza unapima nin? Halafu waandishi unawaambia umeona nin Kuna dawa nyingi TU tunazitumia zinaleta madhara baadae ya muda...
  8. N

    SoC01 Sababu zinazochangia kuua elimu Tanzania

    Elimu ya TANZANIA Iko kinadharia sana Kiko vitendo Kupambana watoto wafaulu TU mtihani inachangia sana wizi wa mitihani
Back
Top Bottom