Recent content by neno ni upanga

  1. N

    Takribani Waisrael 1,280 wameuliwa tayari katika vita na Iran

    Wewe jamaa ni muongo sana, wewe ndo ulizusha hapa kuwa Netanyau ameuliwa! Leo umekuja na uongo mwingine??? Huwa nakuambia Israel ni Taifa la Mungu unayepiga na Israel utakufa wewe! Iran inyoshe tu mikono maana haitashinda hii vita! Badala yake viongozi wake watapukutika wataisha! Shauri yao!
  2. N

    Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Ni maoni yako! Na maoni yako hayawezi kubadilisha neno la Mungu! Unapomnyoshea mzazi wako mkono kuwa ana makosa, ujue kuwa na wewe una makosa pia! Mind your own business, ukitaka siku zako zifupishwe duniani wakosee wazazi wako adabu! Neno la Mungu linadumu milele, maoni yako yatapita lakini...
  3. N

    Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Hiyo ni laana!kibiblia wazazi ni wa kuheshimiwa hata kama wana makosa Kasome kisa hiki kwenye biblia hakina utofauti na hicho! Huyo binti anajitakia laana ya bure Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu; Mwanzo 9:20 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake. Mwanzo 9:21...
  4. N

    Natafuta fundi anayejua vizuri Auto electrical au aliyesomea hii kozi ngazi ya cheti au diploma

    Habari wakuu! Nina shida na fundi mzuri wa auto electrical mwenye cheti kwa ngazi ya diploma sio lazima awe vizuri kwa upande wa practical, uzoefu ataupata kazini!! Kama unamjua mtu wa namna hiyo au ni wewe mwenyewe unaweza Kuja dm au comment namba ya simu, nitakupigia
  5. N

    Jenerali mwingine wa Israel aangamizwa naye alikua kwenye list

    Wewe jamaa mbona unaleta taarifa za Israel tu?? Hebu tupe majina ya wale viongozi 48 waliouwawa pamoja na Khamenei maana hawakutoa majina yao
  6. N

    Nimekuwa SHORTLISTED kada zaidi ya 3, naweza kufanya usaili kada zote au natakiwa kuchagua moja tu?

    Maanake wanalijua hilo mkuu! Inaonekana hizo kada mpo wengi mmechaguliwa mara tatu, ndo maana wameweka muda unaofanana ili uchoose moja, kimsingi haiwezekani kufanya zote mpaka uchague moja!
  7. N

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Hawawezi kukuambia mkuu! Ila wao hawategemei mshahara tu! Wana hela nyingi tu nje ya mshahara wanalipwa.
  8. N

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Ukitaka ufurahie ajira ya serikali, uwe na hela ya ziada, mfano hela ya Chai, nyumba, nauli, extra duty, per dierm, nk taasisi hizi huwezi kusikia watu wanalia njaa, Tanesco,Gepsa , TRC, EWURA, TPDC, na zipo taasisi nyingi ambazo watumishi wake wanaishi maisha mazuri Balaa! Hata Askari siku hizi...
  9. N

    KWELI Mifugo hufariki wakila maganda ya mihogo mibichi

    Hoja sio wangapi, hoja hapa ni kweli au sio kweli! Mimi ni mkulima nafahamu kuwa ni kweli sasa hiyo wangapi siwezi kukujibu
  10. N

    KWELI Mifugo hufariki wakila maganda ya mihogo mibichi

    Mimi ni mkulima ni kweli mkuu usibishe
  11. N

    KWELI Mifugo hufariki wakila maganda ya mihogo mibichi

    Ni kweli kwa sisi wakulima tunaelewq sana! Ukimpa ngombe miogo mibichi au maganda yake akila kwa wingi anakufa!! Hata binadamu huwezi kula miogo Mibichi achana na hii ya kutafuna, maana Kuna Aina nyingi za miogo nazugumzia Ile miogo ambayo ni michungu ukila mibichi, hata ukiipika bado inakuwa...
  12. N

    Nimepangiwa kikazi Mtwara wilaya ya Masasi wajuvi mnipe A,B,C

    Nimekaa masasi miaka 3, ni moja ya mji bora kuliko miji yote mtwara, huduma nzuri, ni mji wa kibiashara, vyitu bei rahisi! Kiufupi Ni mji wenye mchanganyiko wa watu wengi! Hongera sana! Utapaenjoy sana! Watu wake wakarimu sana! Hamna wizi, muda wote upo free kutembea!
Back
Top Bottom