Recent content by neno ni upanga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Anatafuta kazi, alishawahi kufanya kazi Suma JKT

    Sawa mkuu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Anatafuta kazi, alishawahi kufanya kazi Suma JKT

    Kama upo tiyari mkuu nikupe namba yake
  3. N

    JamiiForums Tanzania Anatafuta kazi, alishawahi kufanya kazi Suma JKT

    Ndio mkuu
  4. N

    JamiiForums Tanzania Anatafuta kazi, alishawahi kufanya kazi Suma JKT

    Yupo tiyari mkuu msaidie
  5. N

    JamiiForums Tanzania Anatafuta kazi, alishawahi kufanya kazi Suma JKT

    Habari wakuu bila shaka humu Kuna watu wa Aina mbalimbali naomba tumsaidie huyu dada anatafuta kazi!! Alikuwa anafanya kazi Suma JKT kutokana na matatizo ya nyumbani kwao mwanza aliacha! Kwa sasa anatafuta kazi yoyote ilimradi yenye kuheshimu utu wa mtu! Kama upo serious kumsaidia huyu dada...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bodi ya Mikopo dhidi ya Nicholaus Komba

    Sijakuelewa maanq maelezo mengi ila content hakuna! Sheria inasemaje?? Ni kiasi gani katapeli?? Maana hukumu imesema arejeshe 3000,000/= maanake hizo ndo pesa alizotapeli au??
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mliopo ndani ya ndoa watoto ndio chaguo la kwanza(wapende hao)

    Sio kweli! Mke wangu mimi ndiye rafiki yangu namba moja! Wengine wote wanafuatia!
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Hayo anayoyafanya kwa kificho Haina shida lakini yanayooonekana lazima mwanaume achukue hatua nje hapo atakuwa mwanaume jina! Mke wako unamuona kabisa anachofanya si sawa unamuacha kisa ana uhuru wake huo ni ujinga boss! Kumbuka mme ni mlinzi kwa mke wake hivyo hivyo kwa mwanamke kwa mme wake
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Tatizo hilo mkuu!! Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke, huyo anayempa rift angekuwa mwanamke mwenzake sawa lakini nje ya hapo utalia, wanawake wanadanganywa kwa vyitu vidogovidogo! Huyo mke wako kama haridhiki na hali yake maana alishaingiwa na Tamaa na mali za watu, chukua hatua kama...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Hapo nimezungumzia biblia sio dhehebu
  11. N

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Biblia imeeleza kila mkuu!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Je, Biblia ilitabiri ujio wa AI ?

    Ndio boss kasome Daniel ( udogo na chuma) Udogo- ni binadamu Chuma- ni AI Danieli 2 32. Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba; 33. miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na...
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IEBC Yatangaza Rangi za Karatasi za Kura za Uchaguzi wa 2027

    Wenzetu wapo mbali sana
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nimepata Milioni 2 Biashara ya Chips naona ngumu, nawaza kuwekeza kwenye hisa

    Utt kwa mwezi kwenye hiyo hela anapata 20k kwa mwezi kama faida,bado ni hasara!! Hiyo hela akinipa hata mimi kwa biashara zangu kw mwezi Nina uwezo wa kumpa 50k kama Faida huku namlindia mtaji wake
  15. N

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi: Hii ni haki kweli? Nimelipa deni, lakini bado nakataliwa mkopo

    NMB hawana mambo hayo mkuu!! Nenda huko
Back
Top Bottom