Wewe jamaa ni muongo sana, wewe ndo ulizusha hapa kuwa Netanyau ameuliwa! Leo umekuja na uongo mwingine??? Huwa nakuambia Israel ni Taifa la Mungu unayepiga na Israel utakufa wewe! Iran inyoshe tu mikono maana haitashinda hii vita! Badala yake viongozi wake watapukutika wataisha! Shauri yao!
Ni maoni yako! Na maoni yako hayawezi kubadilisha neno la Mungu! Unapomnyoshea mzazi wako mkono kuwa ana makosa, ujue kuwa na wewe una makosa pia! Mind your own business, ukitaka siku zako zifupishwe duniani wakosee wazazi wako adabu! Neno la Mungu linadumu milele, maoni yako yatapita lakini...
Hiyo ni laana!kibiblia wazazi ni wa kuheshimiwa hata kama wana makosa
Kasome kisa hiki kwenye biblia hakina utofauti na hicho! Huyo binti anajitakia laana ya bure
Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
Mwanzo 9:20
akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
Mwanzo 9:21...
Habari wakuu! Nina shida na fundi mzuri wa auto electrical mwenye cheti kwa ngazi ya diploma sio lazima awe vizuri kwa upande wa practical, uzoefu ataupata kazini!!
Kama unamjua mtu wa namna hiyo au ni wewe mwenyewe unaweza Kuja dm au comment namba ya simu, nitakupigia
Maanake wanalijua hilo mkuu! Inaonekana hizo kada mpo wengi mmechaguliwa mara tatu, ndo maana wameweka muda unaofanana ili uchoose moja, kimsingi haiwezekani kufanya zote mpaka uchague moja!
Ukitaka ufurahie ajira ya serikali, uwe na hela ya ziada, mfano hela ya Chai, nyumba, nauli, extra duty, per dierm, nk taasisi hizi huwezi kusikia watu wanalia njaa, Tanesco,Gepsa , TRC, EWURA, TPDC, na zipo taasisi nyingi ambazo watumishi wake wanaishi maisha mazuri Balaa! Hata Askari siku hizi...
Ni kweli kwa sisi wakulima tunaelewq sana! Ukimpa ngombe miogo mibichi au maganda yake akila kwa wingi anakufa!! Hata binadamu huwezi kula miogo Mibichi achana na hii ya kutafuna, maana Kuna Aina nyingi za miogo nazugumzia Ile miogo ambayo ni michungu ukila mibichi, hata ukiipika bado inakuwa...
Nimekaa masasi miaka 3, ni moja ya mji bora kuliko miji yote mtwara, huduma nzuri, ni mji wa kibiashara, vyitu bei rahisi! Kiufupi Ni mji wenye mchanganyiko wa watu wengi! Hongera sana! Utapaenjoy sana! Watu wake wakarimu sana! Hamna wizi, muda wote upo free kutembea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.