Habari wakuu bila shaka humu Kuna watu wa Aina mbalimbali naomba tumsaidie huyu dada anatafuta kazi!! Alikuwa anafanya kazi Suma JKT kutokana na matatizo ya nyumbani kwao mwanza aliacha! Kwa sasa anatafuta kazi yoyote ilimradi yenye kuheshimu utu wa mtu!
Kama upo serious kumsaidia huyu dada...
Sijakuelewa maanq maelezo mengi ila content hakuna! Sheria inasemaje?? Ni kiasi gani katapeli?? Maana hukumu imesema arejeshe 3000,000/= maanake hizo ndo pesa alizotapeli au??
Hayo anayoyafanya kwa kificho Haina shida lakini yanayooonekana lazima mwanaume achukue hatua nje hapo atakuwa mwanaume jina! Mke wako unamuona kabisa anachofanya si sawa unamuacha kisa ana uhuru wake huo ni ujinga boss! Kumbuka mme ni mlinzi kwa mke wake hivyo hivyo kwa mwanamke kwa mme wake
Tatizo hilo mkuu!! Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke, huyo anayempa rift angekuwa mwanamke mwenzake sawa lakini nje ya hapo utalia, wanawake wanadanganywa kwa vyitu vidogovidogo! Huyo mke wako kama haridhiki na hali yake maana alishaingiwa na Tamaa na mali za watu, chukua hatua kama...
Ndio boss kasome Daniel ( udogo na chuma)
Udogo- ni binadamu
Chuma- ni AI
Danieli 2
32. Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba;
33. miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na...
Utt kwa mwezi kwenye hiyo hela anapata 20k kwa mwezi kama faida,bado ni hasara!! Hiyo hela akinipa hata mimi kwa biashara zangu kw mwezi Nina uwezo wa kumpa 50k kama Faida huku namlindia mtaji wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.