Bajaji mpya inauzwa.bado mpya na makaratasi yake.imetembea umbali wa go down hadi makazi yangu tu.In road licence na plate number.haina insurance.
Kwa kifupi ni mpya kama inavyokuwa imetoka dukani. Aina ni tvs,rangi blue.Bei 6.2 M.
For serious buyer only, call or text 0785 603 694
Bajaji inauzwa aina ya TVS, Brand new, bado ina makaratasi. Ina plate number na road licence. Insurance haina, imetembea kutoka Go-down kufika kwenye makazi ya Mwenye nayo tu basi.
Bei: Milioni 6 na laki 2..
Hivi hata definition ya pyramid scheme waijua ndugu? Nasikitika u miongoni wa watanzania wale wale nnowasema.read books ndugu and do research.have basis on everything you speak.uspeak.utafika mbali sana.
Kila biashara is not for everyone. Ubaya wa hii ni mtu unaingia with hopes.the 95% ni wanaozamia pasipo kuifahamu kwa undani wake.humu humu JF kuna watu wamerukia kufuga na kuuza mayai ya kware wakaishia kupeperusha ndege warudi msituni. kila biashara si ya kuparamia
Habari zenu!
Kwa muda sasa nimeka nikagundua humu JF kuna tabia za kuigana sana.kuna hii biashara ya mtandao ya forever living kila ikitajwa humu imekuwa ikirushiwa makombora with a lot of negativity.initially Ilikuwa inatangazwa sana ila naona kwa trend hata wahusika nayo wakakata tamaa...
Za muda huu watafutaji wenzangu. Mimi nina mambo machache naomba kujuzwa na kusaidiwa kupanua upeo.
Kwa muda sasa nimekuwa na biashara yangu kichwani na kuiandalia business plan. I see myself soaring heights nayo na kabisa naona its an opportunity, ukiachia mbali kuwa ni hobby pia. Utata uko...
Za muda huu watafutaji wenzangu. Mimi nina mambo machache naomba kujuzwa na kusaidiwa kupanua upeo.
Kwa muda sasa nimekuwa na biashara yangu kichwani na kuiandalia business plan. I see myself soaring heights nayo na kabisa naona its an opportunity, ukiachia mbali kuwa ni hobby pia. Utata uko...
Ndugu mama ni binadamu kama binadamu wengine na anastahili kurekebishika.kuna msemo kwamba kids are the best judges to parents sababu pendo kwa mzazi lipogo siku zote so u can fairly judge a parent.Heshima yake kama mzazi mpe na kamwe usimdharau ila kosa ni kujikalia kimya.
Siku mfungie safari...
Yani thinking ya watu kadhaa inanifanya najiuliza sana..Kwahiyo mke kuchemka mapishi ndo na ushatafuta nyumba ndogo? Labda awe housewife peke yake ndo kidogo naweza kukubali...maisha haya ya mwanamke kwenda kazini arudi akupikie mwanaume ukiwa unaweka heshima bar au uko na mpenzi remote...
Hivi kumbe wanaume ni selfish eeh? At the same time wanaume hawataki tena kuoa housewives, wanataka working class women sababu wameshaona maisha yalivyo magumu, wanahutaji msaada wa malezi.hilo hawalioni kwamba ni failure kwao ila kutwa kutaka kupetiwa petiwa.
Huyo huyo mwanamke atoke kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.