Recent content by nengi

  1. N

    Wanaomchafua Dr. Dau magazetini na mtandaoni ni wafamaji, acheni waendelee kutapatapa

    big show, Suala la nssf liko kitaalam zaidi na c bla bla. ripoti ya cag imeainisha masuala kadha(rejea ripoti). hata hivyo ripoti ya cag litapelekwa bungeni hivyo vuteni subira. tusianze kulaumu magazeti ambayo yanafanya kazi yake ya kutuhabariaha la sivyo yatapelekwa mahakamani kwa upotoshaji...
  2. N

    CUF na CHADEMA, kwanini maprofesa hawapendi kujiunga navyo?

    kama kuwa na maprofesa ndio maendeleo hebu angalia maendeleo yetu na nchi zilizojuwa sawa nasi kisha toa maoni. ccm imefifisha maendeleo yetu hivyo hao ni maprofesa uchwara chumia tumbo hawana ubunifu.
  3. N

    Mwenye CV ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam aiweke hapa

    Masaburi alikuwa msomi ila hakuna alichofanya. tusubirie tuone. tumpe mda. wa nchi mwenye ni maimashi iwe meya.
  4. N

    Hivi katika Miji ya wenzetu kwenye makazi ya watu nyumba za ibada imefunga loudspeaker kwa nje?

    Ni kweli kabisa usumbufu ni mkubwa. Kagame amushafuta kwake hiyo kitu. kila mtu asali ndani ya nyumba zao A ibada bila bughudha kwa wengine. bar pia wameshaambiwa waweke soundproof.
  5. N

    Katibu Mkuu Kiongozi ni cheo kilicho juu ya fikra za udini

    suala ni uwezo na weledi wa kazi husika!
  6. N

    Ni wenye akili tu wanaomwelewa Makonda katika hili!!

    Makonda hana jipya ila nchi yetu haina mifumo ya utekelezaji wa kazi, alichofanya ilitakiwa iwe ni sera ya elimu na sio kila mtu aibuke na masuala yake binafsi ili kupata umaarufu wa kisiasa. ili kuwa waalimu walipwe posho ya nauli. Watz tutafakari. tusichukue vitu kama dodoki
  7. N

    Uwezekano wa Kikwete Kurudi 2020

    Jk kurudi "mawee" hana uwezo, dhaifu na legelege! sasa hivi hatutachagua kuangalia kupokezana kwa dini. sasa hivi ni uwezo tuuu! mwinyi bure jk bure. haturudii tena
  8. N

    Dkt. Dau afitinishwa na JPM

    Kikwete kashindwa nchi. hana uwezo wala maarifa alitaka tuu Urais. huyo Dau hiyo miradi yote ilikuea dili na Jk ulifuatilia madeni ya NSsf utashangaa. bila kuwa dini yake hupati ajira nssf.
  9. N

    Hivi kwani ni Lazima Lowassa asikike kwenye media kila mara?

    sio lazima Lowassa asikike kwenye media nawe pia sio lazima umsikilize. kila mtu ana uhuru wake!
  10. N

    Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare yapigwa X

    Hiyo nyumba ya Lwakatare ina bomolewa nyumba ama Gate? naona hapa jakaa vizuri hapo!
  11. N

    Bikra ajitokeze ndoa nyeupee!

    hivi nawe unabikira? nawe ulijitunza? acha hizo. nenda kijijini kwenu kaowe kwa taratibu zenu za kimila
  12. N

    Anguko la Jose Mourinho limfundishe kitu Magufuli

    bravo alex. umesema kitu kizuri na cha ukweli kabisa. ni kazi ya rais kufanyia kazi. kutaja lowassa saahii haisaidii dili imeshapita. tutizame ya sasa kitaifa. jose kamalizwa na wachezaji na huwenda abromovich ndio alikuwa amemchoka akatumia njia husiku kummaliza kimya kimya. jpm watch out...
  13. N

    Sakata la kuficha hela ughaibuni: BoT yamkana Mbowe, Kufungwa miaka 14?

    watu wenye fedha nje ya nchi watz kibao. hasa wa serikalini. mbowe ni chamtoto. ukianza na mbowe mambo yatapasuka hivyo wakubwa nao wanaogopa jipu kubasuliwa. mbowe itakuwa ni kanuni zitambana ila viongozi wastahafu na hasa waccm ndio wengi tena ni za kifisadi na rushwa. ndulu hauwezi musik wake.
  14. N

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    mi naona kukata mzizi wa fitna wapewe magari badala ya hela. maana wabunge waliokuwepo kwennye bunge la 10 wanataka ku capitalize tuu hapo.
  15. N

    Lowassa kwenda UKAWA ndiyo kumeikoa CCM na kuisalimisha Kuifuata KANU ya Kenya na UNIP ya Dk. Kaunda

    sio kweli. kukatwa kwa Lowassa kwenye kamati kuu na kikwete ndio kimeiponyesha ccm. kwa maana kikwete alimtaka Membe ila nguvu ya Lowassa ikafanya nae atolewe jivyo Magufuli kupitishwa na kundi la Lowassa.
Back
Top Bottom