Recent content by nemnunu

  1. nemnunu

    Michango ya send off na harusi chanzo kikuu ndoa nyingi kuvunjika

    Hawajanichangia, na kama Mungu ataajalia mda ukifika nitafanya simple tu kualika ndugu na jamaa wa karibu sio kusumbua watu
  2. nemnunu

    Michango ya send off na harusi chanzo kikuu ndoa nyingi kuvunjika

    Mie nimepoteza baadhi ya marafiki sababu tu mda waliotaka mchango namie nilikuwa na changamoto zangu, lakini mtu hakuelewi anadai kama alikukopesha naishia kuwachunia tu
  3. nemnunu

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwani Al ahly sijui bado dakika ngapi? Itakuwa anamalizia kuangalia
  4. nemnunu

    Mapenzi yananitesa, bora nife tu

    Ufe kisa mapenzi like seriously?Alokwambia huko kuna kupumzika nani?
  5. nemnunu

    Nichagulieni MKE kati ya hawa wawili, Nawaomba sana...

    Muoe mama mtoto wako, mapungufu madogo dogo kila mtu anayo, unataka abaki single mother nani atamwoa
  6. nemnunu

    Msichana ninayemsomesha ananisaliti

    Mimi nimewaza hivo, kuna kitu hakipo sawa hawezi kujitoa hivo halafu achapiwe kizembe kila mara
  7. nemnunu

    Msaada wa kisheria kuhusiana na hili

    Kisheria hii imekaaje. Mtu ana bodaboda ametoa kwa mkataba, ikatokea pikpik imeibiwa na aloibiwa sio huyo alokabidhiwa kwa mkataba ni mtu wa pili. Polisi wakafungua kesi ya jinai ambapo mtuhumiwa akawa huyo mtu wa pili ambaye hana mkataba na mmiliki. Sasa je ni vip huyu mmiliki anaweza pata...
  8. nemnunu

    Ushauri kuhusu course za afya diploma

    Habarini wana jamvi, Nina mdogo wangu kahitimu kidato cha nne na kwa masomo ya science kafaulu kwa wastani wa C. Je, ni course gani nzuri anaweza kusoma ambayo uhitaji wake ni mkubwa kwa sasa?
  9. nemnunu

    Msaada kuhusu kiinua mgongo kwa Private Sectors

    Hello, natumai wote ni wazima. Naomba msaada kwenye mkataba imeandikwa mwajiriwa atalipwa mshahara wa siku kumi kwa mwaka mzima kama kiinua mgongo baada ya kumaliza mkataba. Hii ina maana ipi? Ni siku kumi za kila mwezi au siku kumi kati ya siku 365? Mfano mtu aliye na mshahara wa laki3 kwa...
Back
Top Bottom