Recent content by Nelibaba

  1. Nelibaba

    Ujumbe muhimu kwenu mnaochelewa kutafuta watoto wakati uwezo mnao

    Uwahi kuzaa au uchelewe kuzaa, jambo Moja ninalojua ni kwamba watoto sio Mali ya Mtu yeyote! Uwepo wataishi, usiwepo wataishi!
  2. Nelibaba

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Umetisha sana mtani....
  3. Nelibaba

    Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Kuna mambo yanafikirisha sana
  4. Nelibaba

    Kamwe usimwamini mwanamke

    Kumbe ndo mchezo wenu wa kufuata texts hahaha
  5. Nelibaba

    Roho, Nafsi na Mwili ni nini?

    Watu wengi bado hawaelewi kuwa tafsiri sahihi ya neno "Nafsi" ni "uwepo wa/presence of" na hawaelewi kuwa mwanadamu/binadamu anazo nafsi tatu ambazo ni:- (1)nafsi mwili,(2)nafsi akili na hisia,(3) nafsi roho. Hivyo ni kusema binadamu ni mwili,hisia/akili na roho. Uwepo wa vitu hivi vitatu ndivyo...
  6. Nelibaba

    Mwanaume, usiharakishe kujiaminisha kuwa mwanamke uliye naye ni wa maisha. Mpime siku zote za maisha yako.

    "Ndoa ni njema ukitumia akili na si hisia" bila shaka ni kweli
  7. Nelibaba

    Treni ya SGR Dodoma kwenda Dar imekwama kituoni Mkata SGR station toka saa 1 jioni

    Serikalini hakuna uwajibikaji....nobody cares....ngoja tuone!
  8. Nelibaba

    Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

    Kwani hawa uliowataja wakibaki kwenye nyazifa zao walizonazo sasa Kuna shida gani!? Kwanini ubunge!?
  9. Nelibaba

    CAFCL Sasa ni utajiri wa kutupwa

    Wakaze wapate Hela walipe madeni ya watu
  10. Nelibaba

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Stori Yako inatufundisha nini?
Back
Top Bottom