Recent content by Nel Nelson

  1. N

    Hili ni tatizo kwenye usambazaji wa Katiba inayopendekezwa

    Nani amezihakiki uenda ht hiyo idadi iliyotajwa hazifiki, uenda wamechapisha nakala 10,000 tu
  2. N

    Tatizo la kupoteza fahamu ukiwa umelala

    Pamoja na maombi pia jitahidi kutokula vyakula vigumu kabla ya kulala kama mihogo, magimbi, ugali, makande, nk
  3. N

    Tatizo la Maji Manispaa ya Bukoba (Mjini)

    Leo ni siku ya 3 hakuna maji katika maeneo ya kata ya Rwamishenye na BUWASA wamekaa kimya kana kwamba hapo ofisini hakuna wahusika kitu kinachosababisha usumbufu mkubwa kwa raia, kwa maana dumu moja la maji mpaka leo linauzwa kwa Tsh: 1,000/= jaribu kufikiri kwa mtu mwenye familia ya watu 10...
  4. N

    Japokuwa nimeishia darasa la saba lakini kaka yangu ameishia kuwa omba omba kwangu

    ....wapi katika maisha pameandikwa kwamba WALIOMALIZA DARASA LA SABA HAWEZI KUWASAIDIA NDG ZAO? ACHA HIZO
  5. N

    Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?

    Kitaalum aina yoyote ya mchezo wa kamari unapoucheza kwa muda mrefu na ikiwa ndo kipaumbele chako kwa kila sekunde, saa, siku, wiki, mwezi, miezi, mwaka n.k tayari unakuwa umeathirika na unakuwa tegemezi wa kamari, hapo ndo mtu tunasema amekuwa na "GAMBLING ADDICTION" na inatibiwa kama aina ya...
  6. N

    Mike Mushi wa JamiiForums kwenye kipindi cha MKASI

    Hi, wanajamvi! Binafsi namshukuru Mike Mushi katika kipindi cha Mkasi EATV hiyo jana, alieleza kwa undani malengo ya JamiiForums tofauti na watu wengi wanavyoichukulia na kuona washiriki wanaotuma post mbalimbali hapa ni Wapinzani wa Serikali. Cha msingi alichoongelea ni kwamba angalia Uhalisia...
  7. N

    Haya ndio huwapata watoto wa walevi sugu na watumiaji wa dawa za kulevya

    soma vizuri post yangu kabla ya kujibu, wapi nimeandika mtoto anakuwa-addict baada ya kuzaliwa?
  8. N

    Haya ndio huwapata watoto wa walevi sugu na watumiaji wa dawa za kulevya

    Hi, wanajamvi kumekuwepo matumizi ya pombe (alcohol) na dawa za kulevya (illicit drugs) kwa muda mrefu hapa duniani kiasi kwamba imefikia hatua ambapo mtu kama ushiriki au kutumia vitu vivyo unaonekana kama haujakamilika, lakini hakuna asiyejua madhara ya vitu hivyo. Napenda kuwaasa watumiaji...
  9. N

    Afisa Elimu Sekondari-Bukoba vijijini ni shida

    ozi MWALIMU PUB.......ndo iko wapi kiongozi, Nyamkazi, Hamugembe, Nyakanyasi, Uzunguni, Mafumbo, Kashai, Rwamishenye, Kibeta, Custom, Uswahilini, Stendi, Nyakato, Bilele, Miembeni, Buyekela, Kyebitembe, Nyangoye, Kashabo..........
  10. N

    Ushauri kwa Sam Mahela, Mtangazaji wa ITV

    waandishi wa kusubiri press conference ndo wengi hapa Tanzania
  11. N

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    nafsi ya mtu ni mtu mwenyewe
  12. N

    TAHADHARI: Airtel waanza mtindo wa kuibia wateja wao

    ........hivi kuna kampuni ya simu ambayo HAIWAIBII WATEJA........hapa nchini?
Back
Top Bottom