Hapo sawa kabisaaaaa, hilo ndilo jibu kamili. Experience matters a lot. Kama ndivyo hao wenye diploma huko maofisini si wangeondolewa waajiriwe hao wenye madegree yao huko mitaani? Kazana kusoma na uwe na uvumilivu wa kupata cheo.
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Sio kwenye uzinduzi tu, hata vikao mbalimbali. Wananchi zaidi ya 200 wameacha shughuli zao wanamsubiri mtu mmoja ambaye analimalizia shughuli zake ndio aje. Kweli "There is no hurry in......" kwa mtaji huu hatutakaa tuendelee!
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa! Watanzania tunaishi kwa hofu tu hasa watumishi wa umma, maana likitoka hili linakuja lingine ,unaponea unamshukuru mola. Mara hujaa kaa sawa linakuja jingine...Tutapona kweli? Kuna SIRI nzito!
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.