Recent content by Nehemiahsingh

  1. Nehemiahsingh

    Msaada: Computer yangu inasumbua

    Nashukuru mkuu nimefanikiwa kutatu a kumbe shida ulikuwepo kwenye mother board maji yaliindia sehemu moja yakatengeneza kutu na kukuhusu nyaya ziungane
  2. Nehemiahsingh

    Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

    Maneno gani hayo juu ya mtumishi wa MUNGU au hata wewe ndio tabia yako ukiwa kanisani
  3. Nehemiahsingh

    Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

    Hapana ila kila mtu atakavyo ongozwa na ROHO MTAKATIFU Wa
  4. Nehemiahsingh

    Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile wa Mbeya akagua simu za waumini hadharani akiwa madhahabuni

    Yaani hiyo nimeipenda maana vijana wengi wakiwa kanisani wanakuwa watakatifu wakitoka kanisani wanakuwa watakafujo na mingine inaimba na kwaya hapo hapo madhabahuni yanapanga kwenda kukutana kwenye magheto yao ........ Yaani yamegeuza kanisa kuwa chumba Cha kutunzia Siri za uzinzi wao ...
  5. Nehemiahsingh

    Msaada: Computer yangu inasumbua

    Kwa hiyo Sasa nafanyaje ili kulekebisha maana mpaka Sasa haiwaki taa hapa mbele ila inawaka taa ya ndani tu na mbaya zaizi ninakazi za watu za kuchora michoro ya Ramani
  6. Nehemiahsingh

    Msaada: Computer yangu inasumbua

    Hapana Mimi sio fundi
  7. Nehemiahsingh

    Msaada: Computer yangu inasumbua

    Hapana hai blinking yaani hata taa haiwaki ila ukichomeka waya wa power cable inazungusha feni ya mbele halafu inazima na taa ya ndani ya computer kwenye mother board inawaka ila haizungushi feni
  8. Nehemiahsingh

    Msaada: Computer yangu inasumbua

    Computer yangu aina hp desktop haiwaki imeanza juzi ilikuwa inawaka na kujizima hapo hapo jana nikaiwasha ikawa inaonekana elimewaka lakini hai display chochote kwenye monitor na pia feni ya kwenye power supply haizunguki na nimejalibu kutest power supply nyingine bado inafanya hivyo hivyo...
  9. Nehemiahsingh

    Tatizo la kuwaka na kuzima kwa PC

    Habari zenu jamani? Naombeni msaada, mambo sio mazuri kwa upande wangu. Mimi pia PC yangu niliiacha ndani ya siku tatu bila kuiwasha lakini jana nilipo iwasha iliwaka alafu ikazima ikakata sekunde chache feni zikaanza kuzunguka kwa kasi nimejalibu kuifuta futa vumbi, baada ya kuifuta futa vumbi...
  10. Nehemiahsingh

    Hawa askari hapa wanalinda nini?

    Duh [emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
  11. Nehemiahsingh

    Nimenasa kwenye ulimbo wa ndoa natamani kutoka nashindwa

    Pole Sana mkuu ila Mimi naona endelea kumuombea maana hajioni yawezekana ni pepo limemvamia
  12. Nehemiahsingh

    Ubaguzi tunaofanyiwa na Wahindi hapa Tanzania

    Mi mwenyewe nampenda binti wa kihindi
Back
Top Bottom