Recent content by Neemag

  1. N

    Mkoa wa Mbeya kugawanywa kutokana na Ongezeka la watu na Ukubwa wa eneo

    huu ndo ujinga na ulewa finyu. Ikumbukwe mbeya ndio iliyozaa itinga na rukwa na bado ni kubwa sana. Sasa mtu unapoyumia akili za antena ndo unaona ni ufisadi. Mi binafsi namshukuru Mh JK kuliona hilo na kutusaidia wana mbeya.
  2. N

    Aibu kubwa kwa CHADEMA kushindwa kumfukuza Zitto Zuberi Kabwe

    acha ujinga wewe. Umeongea nn sasa hapa
  3. N

    Hili la kuchinja lisitugawe, Linazungumzika

    labda we sio mkristo safi?
  4. N

    Hili la kuchinja lisitugawe, Linazungumzika

    kweli we chizi hadi hii umepeleka katika itikadi ya vyama! Staili hii hatujengi kitu hapa
  5. N

    Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

    .............????????
  6. N

    Hivi ni kweli watumishi wa umma wanatekeleza ilani ya chama cha mapinduzi?

    rafiki hata halmashauri iwe na viongozi wengi wa upinzani ilani ni ya chama kinachoongoza serikali.so hakuna jipya ambalo watafanya zaidi ya kusimamia vyema ilani hiyohiyo ya CCM
  7. N

    Kwanini Dr. Slaa hapendi kuhudhuria mazishi ya wasanii wetu?

    Natama dr slaa achangie hapa. Maana yeye ndo anayo sababu hasa ya hii topic.,
  8. N

    Kwanini Dr. Slaa hapendi kuhudhuria mazishi ya wasanii wetu?

    acha ujinga wewe ukue some time, hapo umejibu kweli na umejiridhisha nafsini mwako ukisahishwa utapata tick?
  9. N

    Wabunge wa CHADEMA naomba mshughulikie hili mwaka huu

    Toa maoni kwenye katiba mpya
  10. N

    Joseph Mbilinyi (SUGU) MB afanya kweli Mbeya Mjini

    jking katika vipofu na matahira na vihiyo nawe pia unaongoza . Mtu mwenye akili timamu na si mjinga mjinga kama mkwawa na wewe hii haiwezi kua hoja ya kujidai. Ni wazi unajua hamna anachofanya sugu zaidi ya kurukaruka tu. Plz kwa heshima ya wanambeya hoja zisizo na mashiko kumsifu mpuuzi wenu...
  11. N

    2013 CCM itakuwa na mgawanyiko

    Mtoa mada sikupi heko wala nini! We mtu gani mgongano wa mawazo uone sehemu ya kupandia. Halafu naona unakigumumizi cha kufikiri na kuombea mabaya ccm tu. Mara ngapi chadema wamepishana kimtazamo na hisia hadharni na msiiweke kama hoja hapa ukumbini. Acheni unafiki na upotoshaji kwa jamii...
  12. N

    Kwa hili Kamanda wangu Mbowe uliwapunja wabunge wa CHADEMA

    Kwa kweli nionacho mimi eneo la jamii forum limegeuka uwanja wa propaganda ya chadema. But it is un fair ukimlinganisha mbunge wa chadema na kumu au thelathini wa ccm. ccm ina watu vichwa ambao ni wengi pia ila mfumo na mambo ya kiharakati ndo yanaibeba chadema. Hebu nionyeshe sugu potentility...
  13. N

    Chadema Mbeya wachukua hatua kali

    kwangu mi chadema inanishangaza na kunifanya niione kituko kwa mambo yake, yenyewe imekua bingwa wa kusajiri waru walkiokataliwa na vyama vingine bila kuwachunguza na kuwapa nafasi ya kugombea uongozi leo wanajidai kutimua baadhi ya watu bila utafiti wa kutosha zaidi ya kutumia umbea na majungu...
  14. N

    CHADEMA acheni siasa za majitaka, Dk Mary Mwanjelwa hajazomewa

    Jamii forum ni sehemu huru ya kutoa mawazo binafsi lakini mmh! Imegeuka sehemu ya matusi, kashifa, fitina na majungu. Mtu anaongea chochote anachojisikia hata kama haina ukweli, na hii sio njema kumdhalilisha mtu ni kukiuka haki yake. Kila mtu anahitaji heshima, kuna mambo ya public lakini pia...
Back
Top Bottom