2013 CCM itakuwa na mgawanyiko

2013 CCM itakuwa na mgawanyiko

hakika anguko kuu la C.C.M linakuja,kuanzia 2015 magamba watalia na kusaga meno
 
Huu mradi una harufu ya ufisadi pasee.....ndio deal nyingine ya mafisadi wa CCM kuchota pesa kama walivyofanya EPA...Richmond ili wachukue nchi 2015.CHADEMA fuatilieni hili swala la bomba la GESI maana mwenyezi mungu ameshatustua inderectly via wananchi wa Mtwara kuwa mradi huu si bure....kwa nini viongozi wa CCM wavalie njuga kuwa una manufaa kwa taifa?....kwa nini kila kitu Dar-Es-Salaam?...na kwa nini miradi kama hiyo isihamishiwe huko kwenye source ya rasilimali hizo so ikawavutia wananchi kuhamia huko Mtwara?....hivyo wananchi wakakimbia D'salaam na kuiacha ipumue kwa misongomano?....Ina maana gani Rais kututangazia kuwa watanzania tuko 45 milioni?....Nusu ya hawa tubanane dsm/Bagamoyo/Kigamboni?....Kwani ikijengwa Mtwara na kuwa jiji la kisasa kuna dhambi?.....Tuko kwenye mfumo wa Digitali hivyo tafakari.
 
Mtoa mada sikupi heko wala nini! We mtu gani mgongano wa mawazo uone sehemu ya kupandia. Halafu naona unakigumumizi cha kufikiri na kuombea mabaya ccm tu. Mara ngapi chadema wamepishana kimtazamo na hisia hadharni na msiiweke kama hoja hapa ukumbini. Acheni unafiki na upotoshaji kwa jamii bwana.inaboa
 
huu mradi una harufu ya ufisadi pasee.....ndio deal nyingine ya mafisadi wa ccm kuchota pesa kama walivyofanya epa...richmond ili wachukue nchi 2015.chadema fuatilieni hili swala la bomba la gesi maana mwenyezi mungu ameshatustua inderectly via wananchi wa mtwara kuwa mradi huu si bure....kwa nini viongozi wa ccm wavalie njuga kuwa una manufaa kwa taifa?....kwa nini kila kitu dar-es-salaam?...na kwa nini miradi kama hiyo isihamishiwe huko kwenye source ya rasilimali hizo so ikawavutia wananchi kuhamia huko mtwara?....hivyo wananchi wakakimbia d'salaam na kuiacha ipumue kwa misongomano?....ina maana gani rais kututangazia kuwa watanzania tuko 45 milioni?....nusu ya hawa tubanane dsm/bagamoyo/kigamboni?....kwani ikijengwa mtwara na kuwa jiji la kisasa kuna dhambi?.....tuko kwenye mfumo wa digitali hivyo tafakari.

ccm hawana alternative coz tayari viongozi wake walishajenga mitambo ya kufua umeme wa dharura huko dsm na kuwakamua watanzania kwa miongo miwili kupitia capacity charge na gharama za mafuta. Ndio maana Prof Muhongo anadai gesi iligunduliwa Lindi na Mtwara 1974 lakini miaka 40 baadaye bado mitambo ya kuzalisha umeme haijajegwa huko. Ndio maprofesa wetu hao!!!!
 
Mtoa mada sikupi heko wala nini! We mtu gani mgongano wa mawazo uone sehemu ya kupandia. Halafu naona unakigumumizi cha kufikiri na kuombea mabaya ccm tu. Mara ngapi chadema wamepishana kimtazamo na hisia hadharni na msiiweke kama hoja hapa ukumbini. Acheni unafiki na upotoshaji kwa jamii bwana.inaboa

wasira aliposema CDM itasambaratika ndani ya mwaka mmoja yalikuwa maneno mazuri
 
Ndugu Wana JF,

Kwa hali ya upepo wa kisiasa unavyokwenda ndani ya CCM kuanzia Januari Mwaka huu wa 2013 ni wazi kuwa CCM sasa inaelekea kuanza kwa makundi mbali mbali yatakayofanya chama sikivu kirudi tena Dodoma na Kuvunja makundi kama wataweza kutokana na matamko yafuatayo.

GESI YA MTWARA NA MATAMKO:

Mbunge wa Mtwara Mjini na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara na nk.:

wao wako tayari kupoteza nyazifa zao kwa kutokubali gesi kwenda Dar/Bagamoyo

Mwenyekiti CCM taifa, Makamu Mwenyekiti na Naibu waziri Mawasiliano, Waziri wa Nishati na Madini na nk.:

hawa wako tayari kutumia nafasi zao kushinikiza gesi kusafirishwa mapaka Dar/Bagamoyo

Kwa kuwa wanaobishana wote ni wanachama wa CCM ni wazi kuwa wapo wanaofuata matakwa ya wananchi na wengine wanaofuata matakwa ya Mkuu wa nchi hivyo basi hali hii italeta pande mbili la wafia wananchi na wafia mkuu wa nchi.

URAISI KWA TIKETI YA CCM 2015 NA MATAMKO

Salaamu za EL mwaka mpya kwa Watanzania:

salamu za maamuzi magumu zilizotolewa baada ya kikao cha EL na Shelukindo, Chenge, Mgeja na Serukamba, na baadae kufuatiwa na kauli ya uamuzi mgumu wa shelukindo wa kumpigania EL kumrithi JK ni kirusi kingine ambacho kinawaambia wanamtandao wa EL wachukue maamuzi magumu ya kuweka bayana ni nani wako nao wa kupeperusha bendera ya CCM 2015. kwa hali hii 2013 ni mwanzo wa mapande yatakayozaliwa CCM kwa wawania uraisi tena kwa vijembe vya hali ya juu.


yaliyoandikwa hapo juu ni mtazamo wangu kisiasa na mwenye kupinga au kusapoti kwa hoja au kukashifu, kutukana, kukejeli wote mnakaribishwa maana ndio demokrasia yenyewe.
Ramli kumbe zipo toka kitambo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom