Tena huyu Shamimu alikuwa na mumewe wa kwanza very humble, tamaa mbaya sana. Alimkimbia mumewe kwa tamaa na kuolewa na muuza madawa.
Tena aliambiwa mapema sana kwamba huyo Abdul ni muuza madawa, Ila akajifanya hasikii. Leo kiko wapi, jela maisha duh hatari sana.
Makubwa, kumbe huyo mke wa Sugu alikuwa na ndoa before. Mie nilifikiri kabinti bado, kumbe kakomaa. Social media hizi hatareee, na utakuta ana mtoto si Kama watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.