Recent content by NEEMA DUMA

  1. NEEMA DUMA

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    Mwingine huyo wadau
  2. NEEMA DUMA

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    Augustino Ramadhani Profile: Nimezaliwa Desemba 28, mwaka 1945 Zanzibar mjini nikiwa ni mtoto wa pili kati ya watoto wanane, wa kike wanne na wanaume wanne. Ni Mkristo wa dhehebu la Anglikana. Nimesoma shule mbalimbali za msingi Mpwapwa mkoani Dodoma 1952 -1953 nikaenda Town School-Tabora...
  3. NEEMA DUMA

    TANZIA: Mwandishi wa TBC, Florence Dyauli Afariki Dunia

    TBC poleni kwa msiba. Mungu aiweke Roho take mahali pe ma peponi???FRANK MUSHI.
  4. NEEMA DUMA

    TANZIA: Mwandishi wa TBC, Florence Dyauli Afariki Dunia

    TBC poleni kwa msiba. Mungu aiweke Roho take mahali pe ma peponi???Frank Mushi-kwayakuu ya Dyosis ya Mashariki na Pwani toka kanisa la kkkt Manzese.
  5. NEEMA DUMA

    TANZIA: Mwandishi wa TBC, Florence Dyauli Afariki Dunia

    Rip florence. Sauti yako itabaki maskioni namioyoni mwetu.
  6. NEEMA DUMA

    Forever Living imeniachanisha na mke wangu

    kila biashara lazima ukaze msuli. huko forevet si mtelemko ko ivo mpk uhangaike sana. kwanza kiingilio ni sh 800000. upo hapon na ili upate bonus lazma kila mwezi ununue kitu. mpk ufike ngaz ya juu sana ndipo unaingiziwa bonus ht usiponunua. kazi sana. pia ukishatoa kiingilio utafute watu wanne...
  7. NEEMA DUMA

    Je, ungekubali kukatwa kidole pindi mume au mke wako anapofariki dunia?

    ikiingia ebola sijui atakata na vya miguuni. mila jamani. ndiyo maana tunasema kuna zisofaa. kazi ya kizazi hiki iwe elimu tu wenzangu ili kizazi kijacho kiwe tayari kimekuwa transformed. maana hii siyo changes ni transformation hat tusipoyaona mabadiliko yatatokea kwa vizazi vijavyo na yatakuwa...
  8. NEEMA DUMA

    Sivielewi vipindi hivi vya EATV

    wanasema kioo cha jamii. kuna kioo hapo kweli. labda wa mjini mjiangalie lakini kwa mimi wa dodoma vijijni inaniboa tu. ila yule alosema biashara wadhamini mapato ili kulipa kodi labda. ila naona ni maendeleo ya kuiga wenzetu. kuna kipindi cha wale kadashans wanaonyesha wanavyokwenda kutalii...
Back
Top Bottom