Nilishaenda aga khan nikfanya ultra sound, ct scan wakasema hamna tatizo, regency the same hamna tatizo, Ami niliend Feb nikaambiw infection tumbon nikapata dawa na sindano tatizo likaisha but now naona limerudi. @Aspirin
Salaam zenu wana JF, msaada wa daktari bingwa nina tatzo la tumbo kujaa gas, linakuwa km linavimba but linauma upande wa kulia chini ya mbavu. Maumivu haya yanaenda had kiunoni upande huo huo, mkononi na pia had kwenye paja.
Msaada ni daktari gani napaswa kumuona? Nitashukuru kwa msaada wenu...
Habari wadau. Naomba niwaulize jaman kuna yeyote anajua kampuni hyo ina deal na nini? Niliapply kazi sasa leo nimepokea sms ikitaka nitume 45 elfu ili nipate kazi. Na mshahara wa kwanza nitatoa laki4 nimpe huyo alotuma sms.
Jaman hapa si ndo nataka kuibiwa ? Maana kwa style hii wenzangu wangapi...
Mi kuna mmoja alinidaka nkampa buku 5 akakataa, nilikuwa na US$ kwenye wallet nkamwambia chukua hii bas akaichukua haraka kumbe ilikuwa ni US $1😆😆😆😆
Haaa hii oilcom ya opposite na uchumi Segerea ni komesha. Gari yangu full tank ni elfu 60 niliwapa 40,wakaanzia 0.0 but huwez amini mshale haukupanda ukaishia robo tank. Normally huwa naweka lake oil sanene ya elfu 30 mshale unapanda had nusu tank!! Yaan hawa oil com wanamchezo mchafu na sirudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.