Minanina swali moja hivi nchi yauzuri iliyotajwakatika bibilia inamaanisha kwasasa ninchi gani? Naje? Unaweza kunifafanulia habari zipi zitokazo mashariki zitamfadhaisha mfalme wakazikazini habari nihabri gani hizo?
Siyo kweli kama marekani ikiamua kujitoa kweli ujue Ukraine yote inaondoka kumbuka majuzi majuzi tu ilijitoa kwa siku chache mambo yalianza kumwendea mrama ukraine
Kumbe nchi ya uzuri ilyotabiriwa kwenye maandiko yabiblia ndo itakuwa marekani? Ambayo itatekwa nakukaliwa namfalme wakazikazini cjui itakuwa taifa gani? Mwenye ufafanuzi anifafanulie kwakina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.