Recent content by nebu opi

  1. N

    Vita za Iraq vs. Iran na Gulf War

    Halikuvunjwa ispokuwa lilirudishwa nyuma kutoka katika aridhi ya Kuwait nandolilikuwa lengo lamision hiyo
  2. N

    Katika uzi huu nitajibu maswali ya msingi kuhusu mambo mbalimbali kama Mungu, imani, sayansi, n.k. kutoka kwa watu wanaomaanisha, karibu

    Minanina swali moja hivi nchi yauzuri iliyotajwakatika bibilia inamaanisha kwasasa ninchi gani? Naje? Unaweza kunifafanulia habari zipi zitokazo mashariki zitamfadhaisha mfalme wakazikazini habari nihabri gani hizo?
  3. N

    Je, Russia hana ubavu kama Iran?

    Ukiseriuos kweli heti Russia Haina nguvu weeeeeee!!!!hujui Russia vizuri
  4. N

    Trump aisifia Iran asema iliipiga Israeli kwa nguvu sana.

    Kwamimi nahisi hii technology niyamrusi kabisaa make haya makombora yalitisha aisee
  5. N

    Top 10 ya Makabila yanayoongoza kwa kula chakula kingi hapa Tanzania

    Nando kabila pekee linalopiga kazi ngumu nahalitegemei kulishwa nachakula chakutoka sehemu nyingine. Kwahiyo wanahaki yakula make walimaji niwao
  6. N

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Hamna kitu hapo wakipeleka na Russia nae atapeleka kumbuka Russia hawezi kumuona iran akianguka wesubiri uone
  7. N

    Be forward special thread karibu uagize magari Toka nje ya nchi

    Niwekee Nissan extrail newmodel
  8. N

    Urusi yasema viwanja vya ndege vyote mjini Moscow vimefungwa baada ya shambulio la ndege zisizo na rubani

    Siyo kweli kama marekani ikiamua kujitoa kweli ujue Ukraine yote inaondoka kumbuka majuzi majuzi tu ilijitoa kwa siku chache mambo yalianza kumwendea mrama ukraine
  9. N

    Kwa mara ya kwanza tangu ipate Uhuru, Senegal imeanza kuzalisha na kusambaza mafuta yake yenyewe! Tani 90,000 zazalishwa

    aisee senegal itakuwa mbali kama itaenda hivi mafuta hayadanganyi yakisimamiwa vizuri
  10. N

    Miaka hio upo home, ni tukio gani mfanyakazi wenu wa ndani alifanya tukio mkabaki kucheka, kuhuzunika au kukusarika?

    Mtoa maada unaonekana wewe nimboga Saba usidhani kila mji ilikuwa namfanyakazi wandani
  11. N

    DRC iwaangukie "mabeberu" wakubwa wa Magharibi kumaliza vita nchini kwake, mabeberu wanahitaji kubembelezwa kidogo tu na kuheshimiwa kumaliza mgogoro

    Tshekedi anatakiwa amwombe Putin tu awasambaratishe tu hao waasi .lkini kwamataifa ya magharibi ningumu mnooo.russia Hana urafi huo warasilimali
  12. N

    Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

    Kumbe nchi ya uzuri ilyotabiriwa kwenye maandiko yabiblia ndo itakuwa marekani? Ambayo itatekwa nakukaliwa namfalme wakazikazini cjui itakuwa taifa gani? Mwenye ufafanuzi anifafanulie kwakina
Back
Top Bottom