Nawasalimu wana JamiiForums.
Jana nilikuwa nyumbani, nikapata wasaa wa kukumbuka nyimbo zetu (sisi wahenga), nikasikiliza wimbo wa Ndalla Kasheba, Dunia msongamano.
Wimbo huo niliusikia tokea ulivyotolewa, lakini jana ulinipa mtazamo tofauti. Kuna kipande cha wimbo huo kinasema "Naelekea...