Yatokanayo: Usiyojua na yasiyoandikwa kuhusu Tanzania kushiriki American green card rottery

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,754
American green card lottery... Ni mpango mkakati wezeshi uliobuniwa na wamerakani kutoa nafasi kwa njia ya bahati nasibu kwa washindi wa nchi maskini kuingia kuishi na kufanya kazi Marekani kunakotajwa kuwa na nafuu ya maisha
Mpango huu tangu uanzishwe umefaidisha nchi nyingi za dunia ya tatu kwa raia wake kwa maelfu kupata nafsi hiyo adhimu... Lottery hii hufanyika kila mwaka na huwa kuna nafasi elfu 50 za kushindaniwa..
Tanzania ni mmojawapo wa mataifa wafaidikaji wa huu mpango.. Wapo Watanzania wengi tu leo hii wanaishi marekani kupitia mpango huu.

Wiki hii kwa mstuko mkubwa kabisa pamoja na mambo mengine yaliyoipata nchi yetu kimataifa ni pamoja na hili la ZUIO la Watanzania kushiriki bahati nasibu tajwa... Kwa maana ya kwamba kwa mwaka huu hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kushiriki

Mambo yaliyotokea wiki hii kwa mfululizo wa pamoja yamewachanganya wengi na kujikuta nao wamechanganya mambo pia..

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano ya moja kwa moja na zuio kikwazo cha baadhi ya viongozi kuingia Marekani...
Yani kuna orodha ya viongozi wa serikali ya Tanzania wamewekewa ZUIO la kuingia Marekani kutokana na tuhuma kadha wa kadha... ZUIO hili halina mahusiano na zuio la kushiriki bahati nasibu.. Yaani Watanzania wote ambao hhawatawekwa kwenye ZUIO la kuingia Marekani wataruhusiwa kuingia Marekani kwa malengo na shughuli mbalimbali

Kisichojulikana na wengi ni kwamba ZUIO la viongozi wa serikali ya Tanzania kuingia Marekani ni la ndani ya nchi na linawahusu baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania wenye tuhuma zilizoainishwa... Wakati ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani ni la kikanda na kimataifa

Kwenye haya mazuio mawili kila upande husika una mzigo wa lawama... Zuio la viongozi litaambatana na vikwazo vingine, kunyimwa ama kupunguziwa misaada.. Kupelekwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu nknk.. Nchi inatiwa DOA na kulaumiwa ni viongozi

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani hili linawahusu Watanzania katika ujumla wao... Na hapa kama taifa lawana hii ni yetu sote... Watanzania tumekuwa watu wa hovyo... Rahisi kununulika na kuwa manipulated kwa njia nyingi tu
Pesa kidogo inaweza kumnunua mtanzania na kumtumia kutimiza malengo yako... Maelfu ya vijana wetu wako kwenye magereza mbalimbali duniani kwa ishu za uhalifu lakini unapofuatilia kwa karibu unakuta hawana wajuacho zaidi ya kugundua kuwa walitumika na watu ambao hata hawawajui vema...

UGAIDI jambo hili la kutisha... Umekuwa ni vita ngumu sana duniani na sheria ngumu nyingi zimetungwa ili kuweza kuukabili... Tanzania iliyojulikana kwa ustaarabu, ukweli na uaminifu hapo mwanzo sasa ni mojawapo ya mataifa yanayosemwa vibaya... Na kwa bahati mbaya sana hatimaye imetajwa raia wake kushiriki ugaidi mbalimbali duniani
Ukiangalia mataifa yaliyowekewa ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani.. Ni mataifa yenye DOA kubwa la mambo ya kigaidi... Tanzania imekuwaje mpaka kujumuishwa hapa?

Kama taifa kuna mahali tulijisahau na tukaruhusu wageni wakatuingilia kwa pesa kidogo tu huku tukiruhusu vijana wetu kushirikiana na wageni tusiowajua vema huku tukiwaruhusu wasafiri ughaibuni bila kujua kwa hakika huko waendako wanaenda kufanya nini...
Matokeo yake vijana wetu wakaishia kuingizwa kwenye makundi ya kigaidi na kufundishwa ugaidi... Mwisho wa yote ninini? Matukio ya kigaidi yalipofanyika na baadhi ya washukiwa kukamatwa Watanzania hawakukosekana! Taswira ya Taifa inachafuliwa...

Ukarimu wetu uliopitiliza na kupenda pesa bila kujali uzalendo na matokeo ya matendo yetu haya kumesababisha kuruhusu wageni maharamia kumiliki nyaraka zetu muhimu kama vitambulisho vya Taifa na hati za kusafiria... Kwahiyo sometimes wanaokamatwa sio Watanzania lakini wana nyaraka za Tanzania... Unajiuliza WAMEZIPATAJE?

Kwahiyo tusichanganye madesa ishu ya ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano kabisa na serikali bali ni letu wenyewe kwa ujuha na upumbavu wetu

Jr
 
American green card lottery... Ni mpango mkakati wezeshi uliobuniwa na wamerakani kutoa nafasi kwa njia ya bahati nasibu kwa washindi wa nchi maskini kuingia kuishi na kufanya kazi Marekani kunakotajwa kuwa na nafuu ya maisha
Mpango huu tangu uanzishwe umefaidisha nchi nyingi za dunia ya tatu kwa raia wake kwa maelfu kupata nafsi hiyo adhimu... Lottery hii hufanyika kila mwaka na huwa kuna nafasi elfu 50 za kushindaniwa..
Tanzania ni mmojawapo wa mataifa wafaidikaji wa huu mpango.. Wapo Watanzania wengi tu leo hii wanaishi marekani kupitia mpango huu.

Wiki hii kwa mstuko mkubwa kabisa pamoja na mambo mengine yaliyoipata nchi yetu kimataifa ni pamoja na hili la ZUIO la Watanzania kushiriki bahati nasibu tajwa... Kwa maana ya kwamba kwa mwaka huu hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kushiriki

Mambo yaliyotokea wiki hii kwa mfululizo wa pamoja yamewachanganya wengi na kujikuta nao wamechanganya mambo pia..

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano ya moja kwa moja na zuio kikwazo cha baadhi ya viongozi kuingia Marekani...
Yani kuna orodha ya viongozi wa serikali ya Tanzania wamewekewa ZUIO la kuingia Marekani kutokana na tuhuma kadha wa kadha... ZUIO hili halina mahusiano na zuio la kushiriki bahati nasibu.. Yaani Watanzania wote ambao hhawatawekwa kwenye ZUIO la kuingia Marekani wataruhusiwa kuingia Marekani kwa malengo na shughuli mbalimbali

Kisichojulikana na wengi ni kwamba ZUIO la viongozi wa serikali ya Tanzania kuingia Marekani ni la ndani ya nchi na linawahusu baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania wenye tuhuma zilizoainishwa... Wakati ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani ni la kikanda na kimataifa

Kwenye haya mazuio mawili kila upande husika una mzigo wa lawama... Zuio la viongozi litaambatana na vikwazo vingine, kunyimwa ama kupunguziwa misaada.. Kupelekwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu nknk.. Nchi inatiwa DOA na kulaumiwa ni viongozi

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani hili linawahusu Watanzania katika ujumla wao... Na hapa kama taifa lawana hii ni yetu sote... Watanzania tumekuwa watu wa hovyo... Rahisi kununulika na kuwa manipulated kwa njia nyingi tu
Pesa kidogo inaweza kumnunua mtanzania na kumtumia kutimiza malengo yako... Maelfu ya vijana wetu wako kwenye magereza mbalimbali duniani kwa ishu za uhalifu lakini unapofuatilia kwa karibu unakuta hawana wajuacho zaidi ya kugundua kuwa walitumika na watu ambao hata hawawajui vema...

UGAIDI jambo hili la kutisha... Umekuwa ni vita ngumu sana duniani na sheria ngumu nyingi zimetungwa ili kuweza kuukabili... Tanzania iliyojulikana kwa ustaarabu, ukweli na uaminifu hapo mwanzo sasa ni mojawapo ya mataifa yanayosemwa vibaya... Na kwa bahati mbaya sana hatimaye imetajwa raia wake kushiriki ugaidi mbalimbali duniani
Ukiangalia mataifa yaliyowekewa ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani.. Ni mataifa yenye DOA kubwa la mambo ya kigaidi... Tanzania imekuwaje mpaka kujumuishwa hapa?

Kama taifa kuna mahali tulijisahau na tukaruhusu wageni wakatuingilia kwa pesa kidogo tu huku tukiruhusu vijana wetu kushirikiana na wageni tusiowajua vema huku tukiwaruhusu wasafiri ughaibuni bila kujua kwa hakika huko waendako wanaenda kufanya nini...
Matokeo yake vijana wetu wakaishia kuingizwa kwenye makundi ya kigaidi na kufundishwa ugaidi... Mwisho wa yote ninini? Matukio ya kigaidi yalipofanyika na baadhi ya washukiwa kukamatwa Watanzania hawakukosekana! Taswira ya Taifa inachafuliwa...

Ukarimu wetu uliopitiliza na kupenda pesa bila kujali uzalendo na matokeo ya matendo yetu haya kumesababisha kuruhusu wageni maharamia kumiliki nyaraka zetu muhimu kama vitambulisho vya Taifa na hati za kusafiria... Kwahiyo sometimes wanaokamatwa sio Watanzania lakini wana nyaraka za Tanzania... Unajiuliza WAMEZIPATAJE?

Kwahiyo tusichanganye madesa ishu ya ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano kabisa na serikali bali ni letu wenyewe kwa ujuha na upumbavu wetu

Jr
Nakushukuru mkuu kwa kuliweka wazi jambo hili cc black sniper
 
Mkuu Mshana Jr umeelezea vizuri kuhusu green card dv lottery lakini sababu za kufungiwa kwetu ulizozieleza sio za kweli hata kidogo.

Kwanza ngoja nikupe uhondo kidogo kuhusu hii lottery:

1. Ukishinda lottery, unatakiwa kufanya applications ya visa kwa gharama zako. Hapa ilionekana wengi baada ya kushinda huwa hawajishughulishi na kuapply visa.

2. Visa tuu ni gharama kubwa, bado mambo ya nauli ya ndege pia unatakiwa kujilipia.

3. Utatakiwa kufanya vipimo vya afya mbalimbali ambavyo gharama zake ni kama 4M+.

4. Utatakiwa ufanye police clearance plus makorokoro mengine meeeengii.

5. La mwisho na la hatari zaidi ni kwamba ukitua Marekani kila kitu ni juu yako, hakuna atakayekugharamia wala kukutafutia kazi, hivyo unatakiwa uende ukiwa umejiandaa vzr kipesa kabla unatafuta ajira/kazi.


Sasa kwa hiyo michakato wabongo wengi walikuwa wanafeli sababu ya gharama. Hivyo Marekani wakawa wanatuona hatuko interested.

Nigeria wakishinda lotto watu 20k, wataapply visa watu 20k, watakaopambana mpaka wafike Marekani hawapungui 19.5k. Kenya wakishinda lotto watu 20k, wataapply visa watu 19k, watakaofight mpaka wafike Marekani ni watu 18k. Tanzania watashinda lotto watu 20k, watakaoapply visa ni watu 1k, na watakaofight mpaka waende Marekani ni watu 500.

So kwa hizo discrepancy tunaonekana hatuko interested.

Watanzania sio kweli rate ya kujihusisha na uhalifu ni kubwa. Wanaoongoza ni wanaijeria, hawa watu inasemekana wanasumbua sana sana na ndio maana wamepigwa ban ya kupata green card yoyote ile.

Kama ni issue za usalama basi kwa hapa east africa wangeanza na Kenya na sio Tanzania.


Unforgetable
 
Je ni Tanzania pekee ndio iliyozuiwa? Je hizo ndio sababu zilizoainishwa? Je nchi zilizoainishwa pamoja na Tanzania umezisoma?
Mkuu Mshana Jr umeelezea vizuri kuhusu green card dv lottery lakini sababu za kufungiwa kwetu ulizozieleza sio za kweli hata kidogo.

Kwanza ngoja nikupe uhondo kidogo kuhusu hii lottery:

1. Ukishinda lottery, unatakiwa kufanya applications ya visa kwa gharama zako. Hapa ilionekana wengi baada ya kushinda huwa hawajishughulishi na kuapply visa.

2. Visa tuu ni gharama kubwa, bado mambo ya nauli ya ndege pia unatakiwa kujilipia.

3. Utatakiwa kufanya vipimo vya afya mbalimbali ambavyo gharama zake ni kama 4M+.

4. Utatakiwa ufanye police clearance plus makorokoro mengine meeeengii.

5. La mwisho na la hatari zaidi ni kwamba ukitua Marekani kila kitu ni juu yako, hakuna atakayekugharamia wala kukutafutia kazi, hivyo unatakiwa uende ukiwa umejiandaa vzr kipesa kabla unatafuta ajira/kazi.


Sasa kwa hiyo michakato wabongo wengi walikuwa wanafeli sababu ya gharama. Hivyo Marekani wakawa wanatuona hatuko interested.

Nigeria wakishinda lotto watu 20k, wataapply visa watu 20k, watakaopambana mpaka wafike Marekani hawapungui 19.5k. Kenya wakishinda lotto watu 20k, wataapply visa watu 19k, watakaofight mpaka wafike Marekani ni watu 18k. Tanzania watashinda lotto watu 20k, watakaoapply visa ni watu 1k, na watakaofight mpaka waende Marekani ni watu 500.

So kwa hizo discrepancy tunaonekana hatuko interested.

Watanzania sio kweli rate ya kujihusisha na uhalifu ni kubwa. Wanaoongoza ni wanaijeria, hawa watu inasemekana wanasumbua sana sana na ndio maana wamepigwa ban ya kupata green card yoyote ile.

Kama ni issue za usalama basi kwa hapa east africa wangeanza na Kenya na sio Tanzania.


Unforgetable

Jr
 
Mkuu Mshana Jr umeelezea vizuri kuhusu green card dv lottery lakini sababu za kufungiwa kwetu ulizozieleza sio za kweli hata kidogo.

Kwanza ngoja nikupe uhondo kidogo kuhusu hii lottery:

1. Ukishinda lottery, unatakiwa kufanya applications ya visa kwa gharama zako. Hapa ilionekana wengi baada ya kushinda huwa hawajishughulishi na kuapply visa.

2. Visa tuu ni gharama kubwa, bado mambo ya nauli ya ndege pia unatakiwa kujilipia.

3. Utatakiwa kufanya vipimo vya afya mbalimbali ambavyo gharama zake ni kama 4M+.

4. Utatakiwa ufanye police clearance plus makorokoro mengine meeeengii.

5. La mwisho na la hatari zaidi ni kwamba ukitua Marekani kila kitu ni juu yako, hakuna atakayekugharamia wala kukutafutia kazi, hivyo unatakiwa uende ukiwa umejiandaa vzr kipesa kabla unatafuta ajira/kazi.


Sasa kwa hiyo michakato wabongo wengi walikuwa wanafeli sababu ya gharama. Hivyo Marekani wakawa wanatuona hatuko interested.

Nigeria wakishinda lotto watu 20k, wataapply visa watu 20k, watakaopambana mpaka wafike Marekani hawapungui 19.5k. Kenya wakishinda lotto watu 20k, wataapply visa watu 19k, watakaofight mpaka wafike Marekani ni watu 18k. Tanzania watashinda lotto watu 20k, watakaoapply visa ni watu 1k, na watakaofight mpaka waende Marekani ni watu 500.

So kwa hizo discrepancy tunaonekana hatuko interested.

Watanzania sio kweli rate ya kujihusisha na uhalifu ni kubwa. Wanaoongoza ni wanaijeria, hawa watu inasemekana wanasumbua sana sana na ndio maana wamepigwa ban ya kupata green card yoyote ile.

Kama ni issue za usalama basi kwa hapa east africa wangeanza na Kenya na sio Tanzania.


Unforgetable
Hapo kwenyeNamba namba umetufu ga kamba hatari , hata hao Nigeria wako banned wewe ndo umepindishaa ukweli
 
American green card lottery... Ni mpango mkakati wezeshi uliobuniwa na wamerakani kutoa nafasi kwa njia ya bahati nasibu kwa washindi wa nchi maskini kuingia kuishi na kufanya kazi Marekani kunakotajwa kuwa na nafuu ya maisha
Mpango huu tangu uanzishwe umefaidisha nchi nyingi za dunia ya tatu kwa raia wake kwa maelfu kupata nafsi hiyo adhimu... Lottery hii hufanyika kila mwaka na huwa kuna nafasi elfu 50 za kushindaniwa..
Tanzania ni mmojawapo wa mataifa wafaidikaji wa huu mpango.. Wapo Watanzania wengi tu leo hii wanaishi marekani kupitia mpango huu.

Wiki hii kwa mstuko mkubwa kabisa pamoja na mambo mengine yaliyoipata nchi yetu kimataifa ni pamoja na hili la ZUIO la Watanzania kushiriki bahati nasibu tajwa... Kwa maana ya kwamba kwa mwaka huu hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kushiriki

Mambo yaliyotokea wiki hii kwa mfululizo wa pamoja yamewachanganya wengi na kujikuta nao wamechanganya mambo pia..

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano ya moja kwa moja na zuio kikwazo cha baadhi ya viongozi kuingia Marekani...
Yani kuna orodha ya viongozi wa serikali ya Tanzania wamewekewa ZUIO la kuingia Marekani kutokana na tuhuma kadha wa kadha... ZUIO hili halina mahusiano na zuio la kushiriki bahati nasibu.. Yaani Watanzania wote ambao hhawatawekwa kwenye ZUIO la kuingia Marekani wataruhusiwa kuingia Marekani kwa malengo na shughuli mbalimbali

Kisichojulikana na wengi ni kwamba ZUIO la viongozi wa serikali ya Tanzania kuingia Marekani ni la ndani ya nchi na linawahusu baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania wenye tuhuma zilizoainishwa... Wakati ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani ni la kikanda na kimataifa

Kwenye haya mazuio mawili kila upande husika una mzigo wa lawama... Zuio la viongozi litaambatana na vikwazo vingine, kunyimwa ama kupunguziwa misaada.. Kupelekwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu nknk.. Nchi inatiwa DOA na kulaumiwa ni viongozi

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani hili linawahusu Watanzania katika ujumla wao... Na hapa kama taifa lawana hii ni yetu sote... Watanzania tumekuwa watu wa hovyo... Rahisi kununulika na kuwa manipulated kwa njia nyingi tu
Pesa kidogo inaweza kumnunua mtanzania na kumtumia kutimiza malengo yako... Maelfu ya vijana wetu wako kwenye magereza mbalimbali duniani kwa ishu za uhalifu lakini unapofuatilia kwa karibu unakuta hawana wajuacho zaidi ya kugundua kuwa walitumika na watu ambao hata hawawajui vema...

UGAIDI jambo hili la kutisha... Umekuwa ni vita ngumu sana duniani na sheria ngumu nyingi zimetungwa ili kuweza kuukabili... Tanzania iliyojulikana kwa ustaarabu, ukweli na uaminifu hapo mwanzo sasa ni mojawapo ya mataifa yanayosemwa vibaya... Na kwa bahati mbaya sana hatimaye imetajwa raia wake kushiriki ugaidi mbalimbali duniani
Ukiangalia mataifa yaliyowekewa ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani.. Ni mataifa yenye DOA kubwa la mambo ya kigaidi... Tanzania imekuwaje mpaka kujumuishwa hapa?

Kama taifa kuna mahali tulijisahau na tukaruhusu wageni wakatuingilia kwa pesa kidogo tu huku tukiruhusu vijana wetu kushirikiana na wageni tusiowajua vema huku tukiwaruhusu wasafiri ughaibuni bila kujua kwa hakika huko waendako wanaenda kufanya nini...
Matokeo yake vijana wetu wakaishia kuingizwa kwenye makundi ya kigaidi na kufundishwa ugaidi... Mwisho wa yote ninini? Matukio ya kigaidi yalipofanyika na baadhi ya washukiwa kukamatwa Watanzania hawakukosekana! Taswira ya Taifa inachafuliwa...

Ukarimu wetu uliopitiliza na kupenda pesa bila kujali uzalendo na matokeo ya matendo yetu haya kumesababisha kuruhusu wageni maharamia kumiliki nyaraka zetu muhimu kama vitambulisho vya Taifa na hati za kusafiria... Kwahiyo sometimes wanaokamatwa sio Watanzania lakini wana nyaraka za Tanzania... Unajiuliza WAMEZIPATAJE?

Kwahiyo tusichanganye madesa ishu ya ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano kabisa na serikali bali ni letu wenyewe kwa ujuha na upumbavu wetu

Jr
mimi ningependa sana kuona baba lao Pompeo anawafurusha Watanzania wote wanaoishi kule wakiwemo Mzee Mwanakijiji & Nyani Ngabu warudi kwao kule Kolomije wakavue sato na ndugu yao Bashite!
 
Je ni Tanzania pekee ndio iliyozuiwa? Je hizo ndio sababu zilizoainishwa? Je nchi zilizoainishwa pamoja na Tanzania umezisoma?

Jr
Sudan na Tanzania zimezuiwa kushiriki bahati nasibu hii ila hawajazuiwa kuomba greencard kwa taratibu zingine, mfano kama mtu ameomba kazi Marekani na akapata basi atapata greencard kama kawaida.

Nigeria, Eritrea, Myanmar na Kyryzstan wamefungiwa kushiriki hiyo bahati nasibu pamoja na kupata greencard. Hiyo ina maana hawana access ya kuishi marekani kwa njia yoyote ile labda kwenda kutembea tuu na kurudi makwao.


Unforgetable
 
Lakini sisi nina hakika hatujanyimwa kwa sababu ulizotaja kwakuwa miaka haifanani
Sudan na Tanzania zimezuiwa kushiriki bahati nasibu hii ila hawajazuiwa kuomba greencard kwa taratibu zingine, mfano kama mtu ameomba kazi Marekani na akapata basi atapata greencard kama kawaida.

Nigeria, Eritrea, Myanmar na Kyryzstan wamefungiwa kushiriki hiyo bahati nasibu pamoja na kupata greencard. Hiyo ina maana hawana access ya kuishi marekani kwa njia yoyote ile labda kwenda kutembea tuu na kurudi makwao.


Unforgetable

Jr
 
Sudan na Tanzania zimezuiwa kushiriki bahati nasibu hii ila hawajazuiwa kuomba greencard kwa taratibu zingine, mfano kama mtu ameomba kazi Marekani na akapata basi atapata greencard kama kawaida.

Nigeria, Eritrea, Myanmar na Kyryzstan wamefungiwa kushiriki hiyo bahati nasibu pamoja na kupata greencard. Hiyo ina maana hawana access ya kuishi marekani kwa njia yoyote ile labda kwenda kutembea tuu na kurudi makwao.


Unforgetable
nakupata uzuri sana
 
American green card lottery... Ni mpango mkakati wezeshi uliobuniwa na wamerakani kutoa nafasi kwa njia ya bahati nasibu kwa washindi wa nchi maskini kuingia kuishi na kufanya kazi Marekani kunakotajwa kuwa na nafuu ya maisha
Mpango huu tangu uanzishwe umefaidisha nchi nyingi za dunia ya tatu kwa raia wake kwa maelfu kupata nafsi hiyo adhimu... Lottery hii hufanyika kila mwaka na huwa kuna nafasi elfu 50 za kushindaniwa..
Tanzania ni mmojawapo wa mataifa wafaidikaji wa huu mpango.. Wapo Watanzania wengi tu leo hii wanaishi marekani kupitia mpango huu.

Wiki hii kwa mstuko mkubwa kabisa pamoja na mambo mengine yaliyoipata nchi yetu kimataifa ni pamoja na hili la ZUIO la Watanzania kushiriki bahati nasibu tajwa... Kwa maana ya kwamba kwa mwaka huu hakuna mtanzania atakayeruhusiwa kushiriki

Mambo yaliyotokea wiki hii kwa mfululizo wa pamoja yamewachanganya wengi na kujikuta nao wamechanganya mambo pia..

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano ya moja kwa moja na zuio kikwazo cha baadhi ya viongozi kuingia Marekani...
Yani kuna orodha ya viongozi wa serikali ya Tanzania wamewekewa ZUIO la kuingia Marekani kutokana na tuhuma kadha wa kadha... ZUIO hili halina mahusiano na zuio la kushiriki bahati nasibu.. Yaani Watanzania wote ambao hhawatawekwa kwenye ZUIO la kuingia Marekani wataruhusiwa kuingia Marekani kwa malengo na shughuli mbalimbali

Kisichojulikana na wengi ni kwamba ZUIO la viongozi wa serikali ya Tanzania kuingia Marekani ni la ndani ya nchi na linawahusu baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania wenye tuhuma zilizoainishwa... Wakati ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani ni la kikanda na kimataifa

Kwenye haya mazuio mawili kila upande husika una mzigo wa lawama... Zuio la viongozi litaambatana na vikwazo vingine, kunyimwa ama kupunguziwa misaada.. Kupelekwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu nknk.. Nchi inatiwa DOA na kulaumiwa ni viongozi

Zuio la kushiriki bahati nasibu ya kuishi na kufanya kazi Marekani hili linawahusu Watanzania katika ujumla wao... Na hapa kama taifa lawana hii ni yetu sote... Watanzania tumekuwa watu wa hovyo... Rahisi kununulika na kuwa manipulated kwa njia nyingi tu
Pesa kidogo inaweza kumnunua mtanzania na kumtumia kutimiza malengo yako... Maelfu ya vijana wetu wako kwenye magereza mbalimbali duniani kwa ishu za uhalifu lakini unapofuatilia kwa karibu unakuta hawana wajuacho zaidi ya kugundua kuwa walitumika na watu ambao hata hawawajui vema...

UGAIDI jambo hili la kutisha... Umekuwa ni vita ngumu sana duniani na sheria ngumu nyingi zimetungwa ili kuweza kuukabili... Tanzania iliyojulikana kwa ustaarabu, ukweli na uaminifu hapo mwanzo sasa ni mojawapo ya mataifa yanayosemwa vibaya... Na kwa bahati mbaya sana hatimaye imetajwa raia wake kushiriki ugaidi mbalimbali duniani
Ukiangalia mataifa yaliyowekewa ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani.. Ni mataifa yenye DOA kubwa la mambo ya kigaidi... Tanzania imekuwaje mpaka kujumuishwa hapa?

Kama taifa kuna mahali tulijisahau na tukaruhusu wageni wakatuingilia kwa pesa kidogo tu huku tukiruhusu vijana wetu kushirikiana na wageni tusiowajua vema huku tukiwaruhusu wasafiri ughaibuni bila kujua kwa hakika huko waendako wanaenda kufanya nini...
Matokeo yake vijana wetu wakaishia kuingizwa kwenye makundi ya kigaidi na kufundishwa ugaidi... Mwisho wa yote ninini? Matukio ya kigaidi yalipofanyika na baadhi ya washukiwa kukamatwa Watanzania hawakukosekana! Taswira ya Taifa inachafuliwa...

Ukarimu wetu uliopitiliza na kupenda pesa bila kujali uzalendo na matokeo ya matendo yetu haya kumesababisha kuruhusu wageni maharamia kumiliki nyaraka zetu muhimu kama vitambulisho vya Taifa na hati za kusafiria... Kwahiyo sometimes wanaokamatwa sio Watanzania lakini wana nyaraka za Tanzania... Unajiuliza WAMEZIPATAJE?

Kwahiyo tusichanganye madesa ishu ya ZUIO la kushiriki bahati nasibu ya kadi ya kijani halina mahusiano kabisa na serikali bali ni letu wenyewe kwa ujuha na upumbavu wetu

Jr
Umesema vyema. Lakini mimi najiuliza kwa kujilinganisha na ndugu zetu, jirani zetu wa Kenya. Katika swala la ugaidi wao wanaraia wao wengi waliofungwa Kenya na sehemu nyingine duniani kwa swala hilo kuliko sisi. Pili swala la madawa ya kulevya, kwa usafirishaji mdogo mdogo Kama vile wa kumeza hiyo tuko level moja. Lakini kwa usafirishaji mkubwa, Kenya wako juu, case study wale ndugu wenye asili ya Kiarabu wa Mombasa. Tayari wako kifungo USA. Huwezi linganisha Sikuba na hao two brothers. Pamoja na yote hayo Kenya ni safe and clean country. Achilia mbali vurugu za uchaguzi.
 
Back
Top Bottom