Huko hawaendi wakristo tu, Bali wote walio desperate 😭 mtu akiwa kwenye mateso, panahitajika walio wazima kufanya maamuzi sahihi, vinginevyo ni katapeliwa ti.
Kwahiyo hizo nuclear weapons ni selective, kwamba zitachagua non Muslim tu 😭😭, maana Palestine and huwezi kudondosha nuclear weapons haziwezi kutumika maana zitwkuwa ni self destruction.
Wakati wa utawala wa mzee JPM, watu wenye kujinasibu ni wazalendo, walitumia muda mwingi kumsifu, kumpa utukufu uliovuka UBINADAMU, kiasi kwamba akina Nape wakitabiri kuwa Edo angefia ikulu, ila JPM mpiga push up hafi 😭😭 that was blasphemy against the almighty God, 😭😭 conscious foolishness...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.