Recent content by Ndussi

  1. N

    JamiiForums Tanzania Watoto wa Darasa la saba( 7) shule ya msingi salasala lugalo wanakaa chini

    Mh,Waziri wa Elimu saidia hawa watoto wa Darasa la saba( 7) shule ya msingi salasala lugalo hali ni hiyo kila siku kwenye masomo na kwenye mitihani ni kukaa chini namna hii je ni Elimu ya namna gani mnayowapatia watoto hawa? Hii ndiyo dhana halisi ya Elimu bure? Nakuomba sana waziri kwa sms na...
  2. N

    JamiiForums Tanzania DELIVERANCE.

    Najua mambo ya dini hayaruhusiwi humu ndani ila kwa kuwa ni jambo la uhutaji haitakuwa ni tatizo kuliweka hapa. Ni kwamba nahitaji msaada wa deliverance kiroho kwa ajili ya mwanangu tafadhari mtu anayejua mahali ninapoweza kupata msaada huo tafadhari anijulishe. Natanguliza shukrani zangu za...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Dayosis ya Mashariki na Pwani imemshinda Askofu Malasusa

    Sawa team tumekuelewa ngoja tuachane nazo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Dayosis ya Mashariki na Pwani imemshinda Askofu Malasusa

    Taarifa zilizopo ni kwamba kuna kila dadlili za dayosisi ya Mashariki na Pwani kumshinda Dr Alex Malasusa. 1. Dayosisi imejaa madeni na kuna wakati watumishi wanashindwa kulipwa mishahara yao 2. Mfuko wa Elimu ulioanzishwa ilikuwa ni kulipia malimbikizo ya mfuko wa jamii waliyokuwa wanawakata...
  5. N

    JamiiForums Tanzania KUTAMBUA SIMU OLIGINAL

    Habari za jioni ndugu zangu,naomba tujuzane nikitaka kutambua simu original aina ya Samsung nifanyeje tafadhari nisije ingia mkenge
  6. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja na shamba lakini sio kupitia madalali

    Mimi ninacho 60x32 kiko mbezi Makabe changu mwenyewe kiko kwenye barabara za mitaa bei mil 12 mazungumzo yapo nicheki kwa 0714/0765 666 662
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tukubaliane, sio kila anachosema huyu "Binti wa Insta" ni ukweli, hata hili la Kinana anapotosha

    Kama hujifikirishi ni wewe peke yako kimbunga
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tukubaliane, sio kila anachosema huyu "Binti wa Insta" ni ukweli, hata hili la Kinana anapotosha

    Una hakika ametumwa na chadema au kwa vile amewaandama ccm?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tukubaliane, sio kila anachosema huyu "Binti wa Insta" ni ukweli, hata hili la Kinana anapotosha

    Umeandika maeleze meeeeengi ajabu yake hayana point,Kama unataka kuthibitisha unayoysema weka ticket ya safari ya kinana hapa na picha akiwa hospital maana dunia ni kijiji hilo halishindikana,tutakuamini usemayo Kama utaweka ushahidi tu
  10. N

    JamiiForums Tanzania Huu ni umafia dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar

    Tupe chanzo cha hiyo habari yako
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa mbezi makabe

    Au nipe no zako Faru joni
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa mbezi makabe

    Faru john tuwasiliane bac kwa no hizo,tukamilishe biashara
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa mbezi makabe

    Amadoli nipe contact zako tuongee zaidi
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa mbezi makabe

    Uko chini Sana mkuu ongeza ongeza,pia ni vema ukaenda kupaona ni pazuri labda ukipaona hata hiyo pesa niliyotamka utaona value yake
  15. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa mbezi makabe

    Kama unataka mita hadi nimtume mtu akapime lkn hizo hatua zimezoeleka tu na unaposema hatua means za mtu mzima
Back
Top Bottom