Recent content by NduliCCM

  1. N

    Katie Gee, "A Muslim woman just hit me in the street for singing on Ramadan. Is that normal?

    Uwe mpagani kivipi wakati kuna dini ya ukweli. Njoo kwa Yesu uokoke.
  2. N

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    Nipo uwanjani ss. We uko pande zipi?
  3. N

    shotlist pspf

    Ndo interview yenyewe.
  4. N

    scholarships zinapatikanaje??

    MAKULILO SCHOLARSHIP BLOG
  5. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    Nilionana nae mara mbili tu. Yani wakati namtongoza mara ya pili, ilikua siku yangu ya pili kuonana nae baada ya kutokuwasiliana nae kwa miezi kadhaa.
  6. N

    Pure honey from tabora.

    Upo mkoa gani?
  7. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    Mi sio mwanaccm. Hata Idd Amini aliitwaga nduli. unajua maana yake?
  8. N

    Selling my kidney

    Au una ngoma?
  9. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    Nyie wanawake inakuaje? yani ka mnaambiana majibu ya kuwajibu wanaume.
  10. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    Mkuu siunajua wanawake hawa, wakipendeza kidogo tu au akivaa wigi au kuvua anabadilika.
  11. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    Asant AshaDii. Noted.
  12. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    Mkuu swala langu sio kutopenda kuitwa malaya (japo sio malaya), swala ni jinsi gani nitarudisha imani kwa huyu msichana, anaipende ka mi nnavyompenda.
  13. N

    Nimemtongoza Mara mbili

    AshaDii mtazamo huo ndo na yeye anao. Kiukweli sio ivo mnavyomaanisha. Sasa kuna kitu gani nifanye nijisafishe?
Back
Top Bottom