Unamaanisha akiwa na Basic Certificate inamuhitaji akae miaka mitatu ndio atapokelewa kufanya course ya VIP au atapokelewa kufanya course ya PSV au chochote kati ya hivyo viwili ataruhusiwa kufanya kutokana na chaguo atakalohitaji...?
Kabisa kiongozi ambapo sio sawa, hawa watoto tunawaita wa 2000 unaweza ukakuta kwa asilimia fulani hao watu wazima wamechangia kwa njia Moja au nyingine hao watoto kuwa hivyo.
Kama wanaona wakubwa zao wanafanya mambo ya hovyo unadhani vya kurithi itakuaje...? Vinazidi mkuu. Watu wabadilike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.