Recent content by NDUKI

  1. NDUKI

    Tunatafuta ndugu zake, amepoteza kumbukumbu

    Sio anatafutwa mtu wa kulipa deni hapo...?
  2. NDUKI

    Vipi kuhusu mchezo wa Ali express, Si utapeli huu?

    Yaani akae kama Kiranja, Hata kama aki'koa watu waseme Amebanja...! ~ P.R.E.Z.Z.Y.
  3. NDUKI

    Naomba kufahamu kuhusu driving Course pale NIT

    Oooh okay sawa nashkuru mkuu.
  4. NDUKI

    Naomba kufahamu kuhusu driving Course pale NIT

    Unamaanisha akiwa na Basic Certificate inamuhitaji akae miaka mitatu ndio atapokelewa kufanya course ya VIP au atapokelewa kufanya course ya PSV au chochote kati ya hivyo viwili ataruhusiwa kufanya kutokana na chaguo atakalohitaji...?
  5. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Wala sio Manara watu wazima wengi tu sasa hivi wanaishi na hiyo mentality kiongozi.
  6. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Mambo ya kisasa na Ku-Trend mkuu.
  7. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Tupunguze ukali wa maneno mkuu.
  8. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Inaleta ukakasi baadae kwa njia moja au nyingine kiongozi.
  9. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Kabisa kiongozi tukiwaacha hawa watoto wapelekwe na 'UPEPO' watapotea pakubwa mno na mwisho wa siku inakuwa ni hasara kwa familia mkuu.
  10. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Doh, basi sawa ila hiyo si ni kama anachangamsha barza mkuu.
  11. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Ni shida sana kiongozi kuna pahala tulikosea kama wakubwa na kuja kurekebisha itatugharimu kwa muda mrefu sana mkuu.
  12. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Kabisa kiongozi ambapo sio sawa, hawa watoto tunawaita wa 2000 unaweza ukakuta kwa asilimia fulani hao watu wazima wamechangia kwa njia Moja au nyingine hao watoto kuwa hivyo. Kama wanaona wakubwa zao wanafanya mambo ya hovyo unadhani vya kurithi itakuaje...? Vinazidi mkuu. Watu wabadilike...
  13. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Mambo gani tena hayo kiongozi...?
  14. NDUKI

    Watu wazima, tuachane na mambo ya kitoto kwenye digital platforms

    Shida sana kiongozi, hii inaleta dosari mpaka kwa famili na ndugu kwa ujumla.
Back
Top Bottom