Recent content by Ndu wa kweru

  1. Ndu wa kweru

    Kuna baadhi ya viongozi wa Simba wanamsumbua Msuva wiki hii yote

    wanaume wanazidi kupungua nchi hii
  2. Ndu wa kweru

    Msanii Roma Mkatoliki amevuka mstari mwekundu lakini anachekewa tu!

    Mmeliona hilo tu ,mistari mingine je?Dawa imewaingia.uchawa mgumu
  3. Ndu wa kweru

    Alhaji Rage na Mwina Seifu Kaduguda chukueni hii

    Na manara Pia alisema idadi yenu
  4. Ndu wa kweru

    Alhaji Rage na Mwina Seifu Kaduguda chukueni hii

    WEWE NI MBUMBUMBU WA SOKA.
  5. Ndu wa kweru

    Kumbe CAF super league wanachukua hadi timu mbovu

    nchi ina v ijana wa hovyoo sana.
  6. Ndu wa kweru

    Kenya is broke, finally

    wawafilisi hao waliyo iba hiyo hela
  7. Ndu wa kweru

    Mpango wa Bashe wa BBT kwanini haukuchukua wahitimu waliomaliza vyuo vya kilimo?

    Nchi hii haina dira kila mtu na wazo lake,akitoka imetoka.Leo kipaumbele viwanda kesho kilimo keshokutwa mziki
  8. Ndu wa kweru

    Simba ni kama mfungwa aliyetuhumiwa kifo

    itaJulikana baadae,simba Yanga,wote watu walisema wataishia makund
  9. Ndu wa kweru

    Developing story; Mwanamke aliyekufa kwa kunywa sumu huku akirekodiwa na mumewe

    Tunakutana na watu waliolelewa malezi ya hovyo na huku sisi tumepammbana kufika hapo,sasa tupambane na maisha na ujinga wa mijitu iliyodokezwa.Unamuacha tu ajitangulizze
Back
Top Bottom