Recent content by ndosho

  1. N

    Tatizo la kutumia Sumsung GTS5603 kama connector ya Internet.

    Install samsung new pc studio open internet connector create internet profile ya device yako connect. Simu iwe kwenye pc studio mode. Samsung sometime zinazingua ukidisconnect na kukonect tena ikitokea make sure unatumia same usb port Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  2. N

    Super Internet speed 2MBps/ 10Mbps baada ya kucombine mitandao 3

    Inasaidia hapa inatakiwa. More usb port,modem kibao na eneo lenye 3g ya hiyo mitandao. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  3. N

    Super Internet speed 2MBps/ 10Mbps baada ya kucombine mitandao 3

    Ngoja tujaribu alafu tucheki inakuaje.. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  4. N

    Bodi ya mikopo hamueleweki kwa sisi tunaokata rufaa.

    image ya security code haionekani ndio maana inagoma hawa jamaa!!!!!
  5. N

    ZTE MF190 Help...

    mi nimefanikiwa kurudisha dash board kutoka kwenye modem nyingine kama hiyo lakini still invalid sim kwa line yoyote. lakini DC unlocker cracked version inaulock fasta tu kwa modem kama hizi kabla ya kubadili dash board....tuendelee kujuzana
  6. N

    zte mf 190 firmware

    DC unlocker cracked version ina unlock fresh!!!!!
  7. N

    zte mf 190 firmware

    Wakuu msaada wa zte mf 190 modem haisomi line yoyote kwa sasa baada ya kuupdate firmware nyingine ilikuwa modem ya airtel
  8. N

    3g ya vodacom mikoani

    hata Airtel sio kila sehemu ni 3g, bundle sawa ila 3g inakuwa speed kuna baadhi ya sehemu voda wameweka speed ni ya ukweli sana
  9. N

    3g ya vodacom mikoani

    Wakuu kuna mwenye details zozote za 3g ya vodacom kuendelea kuwekwa mikoani kibaha hapa bado tunahangaika na edge
  10. N

    msaada on how to unlock new vodacom usb modem e173

    maneno mazuri...toa msaada.
  11. N

    Msaada wa ku-unlock Airtel Modem aina ZTE MF 190

    Zte zimekuwa ngumu kama ku-unlock wengi wanatumia hiyo join air na kama bado imegoma tusubiri maoni zaidi Gud luck
  12. N

    Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

    kinyoba hizo ni bundle tofauti hii ilikuwa unatuma neno internet kwenda 15444
  13. N

    Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

    Wameondoa kweli sasa mtandao gani mwingine sijui wa kukimbilia..
Back
Top Bottom