Wana JF naomba msaada natafuta namna ya kuifungua modem yangu ya mtandao wa "Airtel" ZTE MF 190. Nimejaribu kutumia "Joinair software" ambayo inafungua modem za Vodacom za aina ya ZTE.Gharama za airtel zinafika mahala zinatisha. halafu ile promoshen yao ya mtandao wa miezi sita bure ni kiin macho. Sijui wengine mmeonaje?