Recent content by Ndosh

  1. N

    Mfumo mbovu wa Elimu Tanzania

    Okay,, ahsante
  2. N

    Mfumo mbovu wa Elimu Tanzania

    Elewa kuwa nimefanya mtihani wa NECTA,, chuo kinahusikaje hapo? Wakati matokeo yangu yapo NECTA!! chuo kinafuata mfumo wa NECTA siyo NACTE.
  3. N

    Mfumo mbovu wa Elimu Tanzania

    Ni mfumo mbovu mkuu maana bora wangeweka njia mbadala ya kujiendeleza kielimu tofauti na ile ya ulazima wa kuwa na AVN.
  4. N

    Mfumo mbovu wa Elimu Tanzania

    Habari ndugu zangu. Kwa machozi mengi naandika juu ya jambo hili. Mimi Ni mmoja kati ya wahitimu katika kozi ya "DIPLOMA IN TECHNICAL EDUCATION" 2019 katika chuo Cha Ualimu Kleruu. Nia yangu ilikuwa Ni kuendelea katika ngazi ya juu Zaidi ya Elimu, lakini , nimepambana kwa nguvu zote nikaomba...
  5. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Mimi Wala siwezi kutuhumu chuo, Ni uzembe wa baraza la mtihani,NECTA, maana nifanya mtihani wa NECTA!!!!! sijasoma kwa semesters!!!
  6. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Wahusika wanaelewa mkuu
  7. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Suluhisho, Ni kuweka kozi katika mifumo husika, na wawe updated, kuwe na link nzuri kati ya NECTA & NACTE.
  8. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Wahusika wanaelewa mkuu.
  9. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Diploma in Technical Education
  10. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Naomba namba yako nikutumie
  11. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Wanaudhi Sana na hapo washakula pesa yangu 10000/=
  12. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Nimesoma Ualimu Elimu ya Ufundi Secondary ( Diploma in Technical Education) KLERUU TEACHERS COLLEGE. Ni Chuo Cha Serikali!!!!
  13. N

    AVN number ilivyokatisha ndoto zangu

    Not s Nishafika hadi ofsini kwao wakaniambia tatizo lipo NECTA, NECTA nikawaandikia barua but nothing is going on. Nachukia Sana kwa utendaji mbovu kwa haya mabaraza, NECTA & NACTE.
Back
Top Bottom