Recent content by Ndondwa

  1. Ndondwa

    Suruhisho la ajira kwa Vijana wa Tanzania

    NAWAZA! NAWAZA SANA HATIMA YA VIJANA WA TANZANIA. Sikumbuki vizuri, lakini kabla ya miaka ya 2000's ilikuwa kawaida kuona kata nzima ikitoa wanafunzi 1-3 kuendelea na masomo ya sekondari mara baada ya kuhitimu elimu ya msingi (ref kata yangu ya Matema (W) Kyela) Sababu kubwa ya idadi ndogo sana...
  2. Ndondwa

    Lowassa: Rais Magufuli ni mfano wa viongozi wa Afrika wasio na maono

    Kumbe ni jipu, ngoja JPM afanye kazi yake
  3. Ndondwa

    Lowassa: Rais Magufuli ni mfano wa viongozi wa Afrika wasio na maono

    Jpm aliogopa/alikimbia lakini, vipi unasemaje kuhusu hilo?
  4. Ndondwa

    The English of the Tanzanian President Magufuli

    Nimeisoma chuoni mwaka mzima na nikaielewa
  5. Ndondwa

    The English of the Tanzanian President Magufuli

    Hata wewe grammar yako haiko poa sana Hujui ka kuna Subject-Verb Agreement Hujui ka kuna Words Collocation Hujui kama Lugha inaSyntax Rekebisha kwanza Written English yako kisha anza kukosoa wengine. Pili, hakuna ushahidi wa kutosha kuwa kuna taifa limefikia maendeleo ya juu kwa kutumia lugha...
  6. Ndondwa

    Magufuli soma vitabu hivi vitakusaidia

    Ushauri mzuri kwa kiongozi wetu
  7. Ndondwa

    Barua ya wazi kwa Prof. Ndalichako: Jinsi ya kuinua Kiwango cha Elimu

    Inaweza ikawa hata kwa kada zingine, lakini hilo andiko niliandika kwa msingi ya kielimu zaidi.
  8. Ndondwa

    Barua ya wazi kwa Prof. Ndalichako: Jinsi ya kuinua Kiwango cha Elimu

    Ahsante mkuu kwa mada. Mwaka juzi nilivyo kuwa chuoni pale SAUT Mwanza nlifanya assignment ambayo ilinitaka niaandae scheme ya jinsi ya kuondokana na unequal distribution of teachers btn rural and urban. Miongoni ya mapendekezo keenye scheme hyo, ilikuwa ni serikali kuandaa utaratibu wa kutambua...
  9. Ndondwa

    January Makamba ajihami kupitia

    Kuja kushituka Zanzibar ina Rais na Meya kachaguliwa afu tutapigwa stori nyingine ya nguvu tuzidi kupotea haaaa haaa[emoji2] [emoji2]
  10. Ndondwa

    January Makamba ajihami kupitia

    Nadhan JPM anajua kutafuta ukweli na si we kujivisha joho la utetezi
  11. Ndondwa

    Mbowe ajitosa kuwatetea Watumishi wa Umma waliofukuzwa

    Watz tukiacha upofu wa fikra na kusahau mambo ndipo tutaanza kutambua mambo. Mabadiliko yapo ila si yale ambayo yana impact kwa jamii ya tz.
  12. Ndondwa

    Msaada: Jinsi ya kuifanya simu yangu ya Voda ipokee Laini ya Airtel

    Dah! Ko utanisaidiaje slave. Inanipa taabu sana
  13. Ndondwa

    Msaada: Jinsi ya kuifanya simu yangu ya Voda ipokee Laini ya Airtel

    Bro kuna halotel hapa. Ni line mbili lakin nisipo weka line ya halotel kwenye slot ya kwanza (line 1) hata ya pili nikiweka line nyingine naambiwa invalid sim card. Msaada tafadhali!
Back
Top Bottom