Mimi nauliza hivi kama tuko nnje yadunia nadunia inazunguka mbona hatuanguki? Nakama kunahiyo nguvu in anamana wakati mwingine tunakua kichwa chini miguu juu?
Ndomana nasema bado manyani kingereza chanini kwa mtanzani yani nimsomi au alafu cheti chako nihalali kweli au ndowale nimekosa mkubwa niuee jiulize wewe
Acha ufala mama ujui mlala hoi anaibiwa navibaka na matajiri wanaibiwa namajambazi kila MTU afanye kazi yake nasema katiba katiba katiba iwezekani mtu analetwa miaka mitano ampangie kamanda wetu kazi alafu akiaribu yeye hayupo hizo nikazi zake nawananchi wenye muitikio sio mapolisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.