barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,803
Kwa katiba ya cuf, je huo mkutano ulikuwa haram au halali??Mkuu ule mkutano uliovunjika na mtatiro akachaguliwa haukuwa wa CUF?
Kwa katiba ya cuf, je huo mkutano ulikuwa haram au halali??Mkuu ule mkutano uliovunjika na mtatiro akachaguliwa haukuwa wa CUF?
Hoja yako ni nini hapa? Ulikuwa wa cuf ila ulifuata baada ya lipimba kutengua maamuzi yake!we acha kujitoa akili ule mkutano uliovunjika ulikuwa wa chama gani? Na ni maamuzi gani yalitolewa? Saa nyingine tumia akili acha upuuzi wako
Ulikuwa halali...na maamuzi yake yalikuwa halali...mi najua ulipitisha barua ya kuridhia lipumba kujiuzulu......Kwa katiba ya cuf, je huo mkutano ulikuwa haram au halali??
Na CUF hawakukubali barua ya kutengua maamuzi...hapo ndipo shida ilikoHoja yako ni nini hapa? Ulikuwa wa cuf ila ulifuata baada ya lipimba kutengua maamuzi yake!
Acha uwongo wewe! Barua ya kujiuzulu Lipumba haijawahi kujadiliwa na Mkutano Mkuu tangupo! Lipumba ni Profesa ujue. Sio mjinga kama wewe! CUF wajilaumu wenyewe kwa kuzembea kuhitimisha kujiuzulu kwa LipumbaNinachojua cuf waliitisha mkutano mkuu wakaridhia pro.lipumba kujiuzulu.....lakini uchaguzi wa mwenyekiti haukufanyika kutokana na vurugu.....Mtatiro akachaguliwa mwenyekiti wa muda ......
Ndomana nasema bado manyani kingereza chanini kwa mtanzani yani nimsomi au alafu cheti chako nihalali kweli au ndowale nimekosa mkubwa niuee jiulize weweWewe na nani?.......i don't argue with illogic personnel
Kuwapandisha miti police wetu alafu kumuabudu mungu MTU kwishaTusaidie vifungu vilivyokiukwa.
Hata kuandika kwenyewe huwezi......idiot.......I'm just ignoring u ....won't reply to or quote u again.Ndomana nasema bado manyani kingereza chanini kwa mtanzani yani nimsomi au alafu cheti chako nihalali kweli au ndowale nimekosa mkubwa niuee jiulize wewe
Ule mkutano wa CUF ulijadili nini na walifikia makubaliano gani? Na kura uliyopigwa ilikuwa ya nini? Tuanzie hapo kwanzaAcha uwongo wewe! Barua ya kujiuzulu Lipumba haijawahi kujadiliwa na Mkutano Mkuu tangupo! Lipumba ni Profesa ujue. Sio mjinga kama wewe! CUF wajilaumu wenyewe kwa kuzembea kuhitimisha kujiuzulu kwa Lipumba
kwa hiyo wale wajumbe wote waliohudhuria mkutano walienda kupoteza muda wao sio?Tuwekee ushahidi