View attachment 406355
Mh. mkuu wa mkoa Makonda..tafadhali waache Jeshi la Polisi wafanye kazi yao moja mhimu na kubwa ya kutulinda sisi na mali zetu.
Hili swala la mazingira nenda taasisi zinazohusika kuhamasisha, ndiyo tunakubari polisi ni sehemu ya jamii lakini kwa nin mnawabebesha kila mzigo! Hivi unajua kazi ya kulinda raia na mali zake inahitaji concentration! why mnawayumbisha hawa mapolisi kwa hali hii ujambazi utaisha kweli..
For sure utakuta polisi wote wameoewa taarifa ya mazingira hiyo trh 01 oct. so wamehamisha akili zao zote huko na kuwacha kuwaza kazi yao ya kulinda raia na mali zao..leo polisi analala anawaza mazigira badala ya kuwaza kupambana na kuzuia uhalifu nchini. kwa hali hii tusitegemee ujambazi kuisha nchini.
Mbona zipo taasisi na NGOs nyingi sana zinaweza kutumika kuhamasisha uoandaji wa mazingira lakini ninyi kila siku kiguru na njia kwa mapoli..
Poleni sana mapolisi kwa kutojitambua na nimesikia wanakuja kuwakagua vyeti ila JWTZ wamepangiwa taratibu nyingine ya ukaguzi..akili za kongota...