Hawa jamaa Tayari wana kampuni ambazo wamezilenga na ndio maana unaona wameweka vigezo Ili wengine wasipate mkuu!! Mi nko kwenye hiyo industry lakini nashangaa ata chama cha mawakala wa forodha TAFFA wamekaa kimya!!
Hizi cm bwana Kiboko, ukiuziwa yenye Apple ID usiichukue maana Hakuna mwenye uwezo wa kuitoa/kuflash... Jamaa anazo za kupigwa airport Kampa mtoto anachezea imeshindikana kutoa lock!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.