Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
Ni kiwanja kizuri. Kipo maeneo ya Kishiri -Igoma Mwanza. Kinaukubwa wa (urefu 45 na upana 39). Kipo pembe ya Barabara na Jirani na Shule. Pamechangamka na panafaa kwa biashara. Pia kuna miti ya miembe
Yeyote anaehitaji anitafute kwa namba 0756851815. PIGA AU WHATSAPP.
:thumbup:BEI NI POA.
Yeyote anaehitaji anitafute kwa namba 0756851815. PIGA AU WHATSAPP.
:thumbup:BEI NI POA.