Recent content by Ndoleleji mission

  1. Ndoleleji mission

    KUTOKA VIKINDU: Polisi wapambana na majambazi, askari mmoja adaiwa kuuawa

    Jitahidi kuweka akiba ya maneno ndg.Pia,kutaja jina la mtu namna hiyo na kwa hicho ukiandikacho hapa,ni hatari kwako.Vinginevyo,majuto daima huwa ni mjukuu.
  2. Ndoleleji mission

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Kwa chama kipi hasa cha upinzani!?
  3. Ndoleleji mission

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Sivyo.Lkn kwa sababu nchi hii hakipo chama pinzani makini bado CCM Chakii wataendelea kuongoza tu hadi hapo wapinzani wa kweli watapopatikana.Kinachotufanya(Baadhi yetu)tusiwaamini no huko kushindwa kwenu kusimamia hoja na takarashi zenu!Hilo ni tatizo kubwa.Hamjajipanga kimkakati na ki-sera...
  4. Ndoleleji mission

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Hiyo hadhi ya kuzungumza na JPM kwanza huna!Na hana mda mchafu km huo.
  5. Ndoleleji mission

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Huna lolote!Kwa nyinyi bado hamjawa size ya serikali.Km hutaki anzisha hako ka-uchwara kako uone!
  6. Ndoleleji mission

    CHASO Dar es Salaam: Taarifa kwa umma

    Kutawala nchi hii nyinyi chagdema labda mfe na mfufuke.
  7. Ndoleleji mission

    Niliwahi kuuliza hapa nikabezwa, leo nauliza tena "Kina nani wanapambana? "

    Kwa sababu hizo hizo,hata chagadema wanazitumia ili wapate madaraka;au?
  8. Ndoleleji mission

    Hotuba ya Freeman Mbowe. Amuonya Vikali Rais Magufuli

    Tarehe1 si mbali mbona maneno mengi!?Jamani,JPM yeye ni wavitendo na ninyi ikifika hiyo tarehe onyesheni vitendo.Maneno mengi namna hiyo yatakosesha IMANI watu.
Back
Top Bottom