Jitahidi kuweka akiba ya maneno ndg.Pia,kutaja jina la mtu namna hiyo na kwa hicho ukiandikacho hapa,ni hatari kwako.Vinginevyo,majuto daima huwa ni mjukuu.
Sivyo.Lkn kwa sababu nchi hii hakipo chama pinzani makini bado CCM Chakii wataendelea kuongoza tu hadi hapo wapinzani wa kweli watapopatikana.Kinachotufanya(Baadhi yetu)tusiwaamini no huko kushindwa kwenu kusimamia hoja na takarashi zenu!Hilo ni tatizo kubwa.Hamjajipanga kimkakati na ki-sera...
Tarehe1 si mbali mbona maneno mengi!?Jamani,JPM yeye ni wavitendo na ninyi ikifika hiyo tarehe onyesheni vitendo.Maneno mengi namna hiyo yatakosesha IMANI watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.