CHASO Dar es Salaam: Taarifa kwa umma

Hivi ni lini CCM kukawa na vijana. Au Katambi, Mwita, Bulaya, Mnyika, Mdee, Jacob, Silinde, Mwakajoka, Sugu, Gekul, Suzan, Lijualikali, Devota, Lema, Nassari, Mtatiro, Kishoa na wengine wengi wapo CCM? Maana hao ndio vijana tunaowajua nchini. Acheni utani jamani. AU Jaah people, Maji marefu, Lameck, Maghembe wamerudi ujanani? maana hao ndio wana CCM tuwajuao.
 
Hao wanaojiita uvccm ni watoto wa viongozi wa ccm na walishavimbiwa kitambo sirahisi kujitambua.
 
Na ninyi mmepaniki...tulieni bwana. Tueleze ninyi CHASO ni akina nani...mnatambulika kama nani ndani ya katiba yenu ama ya chama. Mnanguvu gani kikatiba ya kuhakikisha mawazo yenu yanafanyiwa kazi?

Kwa kifupi...hamkutulia wakati wa kuandaa tamko lenu. Na kama mko 'serious' mlitakiwa kuendelea na mikakati badala ya kuangaika na 'bait' ya wapinzani wenu. Au mmeshtuka 'kiberiti' cha gesi?
Hebu leta tamko kama hilo kutoka uvccm
 
CHASO waliwajibu vizuri sana haya majizi ya Uvccm. Hata wangeachwa kuandamana wangeishia vichapo mitaani
 
Uongozi wa CHASO mkoa wa Dar es salaam Leo jumatatu ya tarehe 22/8/2016,unapenda kutoa kauli na msimamo wetu juu ya mambo yafuatayo.

1.Tamko la UVCCM kuhusu kufanya mikutano na maandamano nchi nzima kumpongeza rais kwa utendaji wake,CHASO tunaona tamko la UVCCM kama kichekesho na ndoto zisizoweza kutimia kwa sababu CCM hawana vijana wa kufanya maandamano nchi nzima na hawana historia hiyo,na hii inasababishwa na CCM kutokua na nguvu ya ushawishi kwa vijana hivo kiufupi maandamano hayo hayajawai kuwepo na hayawezi kuepo.

Pia CHASO tunalishangaa genge hili lisilokua na ushawishi wala uungwaji mkono toka kwa vijana kuanza kudandia hoja na mipango ya CHADEMA ya kufanya maandamano na mikutano ya hadhara nchi nzima,Hii ni hatari sana kwao maana wasishangae watakapopigwa bakora mitaani kutokana na hali ngumu ya maisha kwa watanzania,hivyo "wasiwajaribu watanzania maana hawatakubali kujaribiwa"

2.Ushiriki wa Wana CHASO katika operation UKUTA kuanzia September 1.

Sheria ya vyama vya siasa Na.5 ya 1992.KANUNI ZA MAADILI YA VYAMA VYA SIASA ZA MWAKA 2007.

Sehemu ya pili.

Haki ya chama.
Lakini pia sehemu ya tatu, 5.wajibu wa chama (e) na (f).CHASO kwa sheria hiyo tunapenda kuendelea na msimamo wetu wa kuunga mkono operation hii kwa nguvu zetu zote na hatutarudi nyuma katika movement hii,tutaidai haki hii hadharani bila kificho,na uongozi unawasihi wanachaso popote mlipo kufika katika ofisi za chama zilizopo karibu na kutoa ushirikiano.

CHASO tunatoa wito kwa wasomi wote nchi nzima kuungana siku ya tarehe 1/9/2016 kupinga ubakwaji huu wa DEMOKRASIA na uvunjaji wa KATIBA ya Nchi unaofanywa na Rais Magufuli na vibaraka wake wote huku wakivitumia vyombo vya dola.

Tunawataka UVCCM kuzungumzia hali ngumu ya maisha kwa sasa mitaani,Wanafunzi kutopewa hela za mafunzo kwa vitendo mpaka sasa,Bei ya Sukari kuwa juu,Biashara kudorora kutokana hali ngumu ya maisha,Wamachinga na Bodaboda kuendelea kuteseka ndani ya nchi yao,Serikali kushindwa kuajiri wala kutengeneza vyanzo vya ajira.
Tunawataka UVCCM kutuonesha ni KIWANDA gani mpaka leo imekwisha zinduliwa na Mh. Rais kama ilivyo kipaumbele chake.

Mwisho.
Tunawapongeza Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yetu bila kujali itikadi zao, dini wala ukanda kwa kuendelea kuunga mkono Operation UKUTA kwa mustakabali mwema wa nchi yetu.

Tunatoa wito kwa vyombo vyetu vya Dola kuona umuhimu wa Operation UKUTA,wao wanajua umuhimu wa kuheshimu utawala wa Katiba na Sheria,pia wameapa kuilinda KATIBA ya nchi. Tunaomba vyombo vya Dola kutoa ushirikiano ili kufanikisha Operation UKUTA.

AHSANTENI

CHASO , chanzo cha fikra bora.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA.

TUKUTANE SEPTEMBER 1, 2016#UKUTA
Kutawala nchi hii nyinyi chagdema labda mfe na mfufuke.
 
Uongozi wa CHASO mkoa wa Dar es salaam Leo jumatatu ya tarehe 22/8/2016,unapenda kutoa kauli na msimamo wetu juu ya mambo yafuatayo.

1.Tamko la UVCCM kuhusu kufanya mikutano na maandamano nchi nzima kumpongeza rais kwa utendaji wake,CHASO tunaona tamko la UVCCM kama kichekesho na ndoto zisizoweza kutimia kwa sababu CCM hawana vijana wa kufanya maandamano nchi nzima na hawana historia hiyo,na hii inasababishwa na CCM kutokua na nguvu ya ushawishi kwa vijana hivo kiufupi maandamano hayo hayajawai kuwepo na hayawezi kuepo.

Pia CHASO tunalishangaa genge hili lisilokua na ushawishi wala uungwaji mkono toka kwa vijana kuanza kudandia hoja na mipango ya CHADEMA ya kufanya maandamano na mikutano ya hadhara nchi nzima,Hii ni hatari sana kwao maana wasishangae watakapopigwa bakora mitaani kutokana na hali ngumu ya maisha kwa watanzania,hivyo "wasiwajaribu watanzania maana hawatakubali kujaribiwa"

2.Ushiriki wa Wana CHASO katika operation UKUTA kuanzia September 1.

Sheria ya vyama vya siasa Na.5 ya 1992.KANUNI ZA MAADILI YA VYAMA VYA SIASA ZA MWAKA 2007.

Sehemu ya pili.

Haki ya chama.
Lakini pia sehemu ya tatu, 5.wajibu wa chama (e) na (f).CHASO kwa sheria hiyo tunapenda kuendelea na msimamo wetu wa kuunga mkono operation hii kwa nguvu zetu zote na hatutarudi nyuma katika movement hii,tutaidai haki hii hadharani bila kificho,na uongozi unawasihi wanachaso popote mlipo kufika katika ofisi za chama zilizopo karibu na kutoa ushirikiano.

CHASO tunatoa wito kwa wasomi wote nchi nzima kuungana siku ya tarehe 1/9/2016 kupinga ubakwaji huu wa DEMOKRASIA na uvunjaji wa KATIBA ya Nchi unaofanywa na Rais Magufuli na vibaraka wake wote huku wakivitumia vyombo vya dola.

Tunawataka UVCCM kuzungumzia hali ngumu ya maisha kwa sasa mitaani,Wanafunzi kutopewa hela za mafunzo kwa vitendo mpaka sasa,Bei ya Sukari kuwa juu,Biashara kudorora kutokana hali ngumu ya maisha,Wamachinga na Bodaboda kuendelea kuteseka ndani ya nchi yao,Serikali kushindwa kuajiri wala kutengeneza vyanzo vya ajira.
Tunawataka UVCCM kutuonesha ni KIWANDA gani mpaka leo imekwisha zinduliwa na Mh. Rais kama ilivyo kipaumbele chake.

Mwisho.
Tunawapongeza Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yetu bila kujali itikadi zao, dini wala ukanda kwa kuendelea kuunga mkono Operation UKUTA kwa mustakabali mwema wa nchi yetu.

Tunatoa wito kwa vyombo vyetu vya Dola kuona umuhimu wa Operation UKUTA,wao wanajua umuhimu wa kuheshimu utawala wa Katiba na Sheria,pia wameapa kuilinda KATIBA ya nchi. Tunaomba vyombo vya Dola kutoa ushirikiano ili kufanikisha Operation UKUTA.

AHSANTENI

CHASO , chanzo cha fikra bora.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA.

TUKUTANE SEPTEMBER 1, 2016#UKUTA
Tumechoka na matamko nenden mkaandamane
 
Uongozi wa CHASO mkoa wa Dar es salaam Leo jumatatu ya tarehe 22/8/2016,unapenda kutoa kauli na msimamo wetu juu ya mambo yafuatayo.

1.Tamko la UVCCM kuhusu kufanya mikutano na maandamano nchi nzima kumpongeza rais kwa utendaji wake,CHASO tunaona tamko la UVCCM kama kichekesho na ndoto zisizoweza kutimia kwa sababu CCM hawana vijana wa kufanya maandamano nchi nzima na hawana historia hiyo,na hii inasababishwa na CCM kutokua na nguvu ya ushawishi kwa vijana hivo kiufupi maandamano hayo hayajawai kuwepo na hayawezi kuepo.

Pia CHASO tunalishangaa genge hili lisilokua na ushawishi wala uungwaji mkono toka kwa vijana kuanza kudandia hoja na mipango ya CHADEMA ya kufanya maandamano na mikutano ya hadhara nchi nzima,Hii ni hatari sana kwao maana wasishangae watakapopigwa bakora mitaani kutokana na hali ngumu ya maisha kwa watanzania,hivyo "wasiwajaribu watanzania maana hawatakubali kujaribiwa"

2.Ushiriki wa Wana CHASO katika operation UKUTA kuanzia September 1.

Sheria ya vyama vya siasa Na.5 ya 1992.KANUNI ZA MAADILI YA VYAMA VYA SIASA ZA MWAKA 2007.

Sehemu ya pili.

Haki ya chama.
Lakini pia sehemu ya tatu, 5.wajibu wa chama (e) na (f).CHASO kwa sheria hiyo tunapenda kuendelea na msimamo wetu wa kuunga mkono operation hii kwa nguvu zetu zote na hatutarudi nyuma katika movement hii,tutaidai haki hii hadharani bila kificho,na uongozi unawasihi wanachaso popote mlipo kufika katika ofisi za chama zilizopo karibu na kutoa ushirikiano.

CHASO tunatoa wito kwa wasomi wote nchi nzima kuungana siku ya tarehe 1/9/2016 kupinga ubakwaji huu wa DEMOKRASIA na uvunjaji wa KATIBA ya Nchi unaofanywa na Rais Magufuli na vibaraka wake wote huku wakivitumia vyombo vya dola.

Tunawataka UVCCM kuzungumzia hali ngumu ya maisha kwa sasa mitaani,Wanafunzi kutopewa hela za mafunzo kwa vitendo mpaka sasa,Bei ya Sukari kuwa juu,Biashara kudorora kutokana hali ngumu ya maisha,Wamachinga na Bodaboda kuendelea kuteseka ndani ya nchi yao,Serikali kushindwa kuajiri wala kutengeneza vyanzo vya ajira.
Tunawataka UVCCM kutuonesha ni KIWANDA gani mpaka leo imekwisha zinduliwa na Mh. Rais kama ilivyo kipaumbele chake.

Mwisho.
Tunawapongeza Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yetu bila kujali itikadi zao, dini wala ukanda kwa kuendelea kuunga mkono Operation UKUTA kwa mustakabali mwema wa nchi yetu.

Tunatoa wito kwa vyombo vyetu vya Dola kuona umuhimu wa Operation UKUTA,wao wanajua umuhimu wa kuheshimu utawala wa Katiba na Sheria,pia wameapa kuilinda KATIBA ya nchi. Tunaomba vyombo vya Dola kutoa ushirikiano ili kufanikisha Operation UKUTA.

AHSANTENI

CHASO , chanzo cha fikra bora.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU IBARIKI CHADEMA.

TUKUTANE SEPTEMBER 1, 2016#UKUTA
Hii nchi inawatu wa jabu kweli et Tunatoa wito kwa vyombo vyetu vya Dola kuona umuhimu wa Operation UKUTA,wao wanajua umuhimu wa kuheshimu utawala wa Katiba na Sheria,pia wameapa kuilinda KATIBA ya nchi. Tunaomba vyombo vya Dola kutoa ushirikiano ili kufanikisha Operation UKUTA.
 
Hii nchi inawatu wa jabu kweli et Tunatoa wito kwa vyombo vyetu vya Dola kuona umuhimu wa Operation UKUTA,wao wanajua umuhimu wa kuheshimu utawala wa Katiba na Sheria,pia wameapa kuilinda KATIBA ya nchi. Tunaomba vyombo vya Dola kutoa ushirikiano ili kufanikisha Operation UKUTA.
Kitu gani cha ajabu hapo ? Au ubongo wako umeganda
 
Back
Top Bottom