Sisi watanzania tulio wengi tunatanguliza kupenda mtu na sio mchango wake au hoja yake tukubali kwa uamuzi wa kukulupuka pale CDMA ilikosea kama tulivyo kulupuka kuunda ukawa nafikili hata tukiwapa nchi tayari wameshajiunga na boko haram wazee wakae watwambie tulikosea wapi tujirekebishe kabli 2015
Ezekiel kamwaga ni watu wenye busara na hakima tu wenye uzalendo wa kweli ndo wanaweza kukubali anachofanya huyu zzk au maada ulioandika mfano vijana wanakwambia ubora machafuko kuliko amani wanaona Sudan ya kusini
Hakuna asiyekasoro ila wengi wetu tumekuwa mashabiki wa (watu) mtu akisema chochote tunaamini Zito kabwe ni mzalendo ana uweleledi na hakulupuki nampongeza kama Tanzania mwenzangu
Nakubaliana na AFROPAC kwa kugundua dhahabu ilichafuliwa na kinyesi na wao kuona inafaa hongera jembe liwakilishe taifa vizuri hata ungekuwa kwenye majivu mtu anayejua cha thamani atakiokota tu
rudi shule! Hueleweki.
Sioni sababu kama hao wote wamesoma na unaona ukanjanja ndio unaowafanya waishi nasema Mimi shule siendi na uzalendo umenishinda nibora wazamani ninaowajua kuliko makanjanja
Hapo hakuna muungano wa UKAWA Bali ni hila giliba zinazofanywa na watu tuliohisi wanaweza kuongoza hebu Anglia Cuf wako ktk serikali nani anajua maalim sefu na karume waliongea nini mpaka wakakubaliana kuunda umoja unafikili umoja huo hauna manufaa kwa ccm? Wakubwa nguo zimevuka mbele ya umma...
Sijaelewa vizuri nafikili ni kwa sababu sijaenda shule zaidi nafikili tunaona mwisho cha chadema katika binge hili la bajeti chama chetu chadema litabaki jina tu tutatembelea kilichofanyika mwaka 2010 maana sina hakika kama Cuf watapinga muswaada wowote kwa niaba ya nafasi yao ktk serikali pia...
Tukiacha mambo ya kinazi vyama vilivyojiunga na ukawa walitakiwa kujua mipaka ya ukawa ni wapi pia wasichanganye siasa na mambo ya katiba kwa Mimi ambaye sijaenda shule najua vyama vyote ni muungano wa ccm na hapo ndipo tumefia ccm wataendelea kututawala kumbe wasaliti walikuwa wengi sio zito...
Hapo hamna muungano wa vyama vya siasa huo ni uongo wa siasa kumbuka kuna wanachama wengine walihama chama kimoja kwenda kingine anafika hapo unamwambia umeunganisha vyama hiyo ni kamali tunaipa nafasi ccm kuendelea kutunyanyasa
Samahani Mimi sina shule ila kama tuliweza kuvunja Azimio la Arusha kwa sababu ambazo walizijuwa wenyewe Leo hii watu wamechoshwa na Muungano wakubwa wanataka mawazo yetu iweje? Mtazamo wangu kila nchi iwe huru
Maantiki ya maada hii ni kujipanga kuondoa tofauti ndani ya chama migogoro daima inahalibu chama kwa mantiki hii kama viongozi wako kwa nia ya kazi mabadiliko ni ndoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.