Waberoya ukianzisha chama...nitakuwa first member...nilisema Zamani hapa jf..serikali tatu lengo ni ku achieve nini? Kwa nini wasililie tume huru ya uchaguzi?
Ahaha haaa, asante boss kuwa na Trust kwangu
Yaani wapinzani wanacheza ngoma ya CCM bila kujua. CCM wameishaharibu walichofanikiwa ni kuwaweka wainzani kwenye kaango lile lile la kutojali wananchi. People are wasting their valuable time kujadili S2 au S3, huku Dar es salam haipitiki!! kia kona barabara zimeharibika...............mwishowe wananchi wanaona hawa wanasiasa wooote lao moja
Kibaya zaidi wakiambiwa huwa wakali na kejeli juu,
kama unajua nguvu ya BRANDING kwenye marketing, utagundua jinsi ambavyo products zinavyokuwa na power zinavyojulikana kwa branding zake
Uchaguzi unakuja, popularity ya chadema, CUF na NCCR zitakuwa moja tu, people will never see chadema alone but UKAWA branding power ya chadema itapungua, contrary na imani ya wengi
kikubwa ni why mamuzi haya? tukiwambia kuwa maaamuzi yenu mabovu ndio maafa yenu huwa hawakubali
conflicts za chadema za siku za karibuni zimepeleka haya yote, hatima yake ni upinzani kukosa nguvu due to lack of that branding power
may be I am wrong, but I believe UKAWA was supposed to be better than that
Mr. Boss twende ACT ha ha haa