naona CDm inawanyima usingizi sana hawa interahamwe! Huku Mwanza tunasubiri uchaguzi tu ufike tuchukue majimbo yote, hatutaki kabakiza hata gamba moja hapa mkoani kwetu! People'zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Mwanza mmejipanga na nanni?? Jipange na washenzi wenzako ambao hamjui wat ua doing,lakini kwa wale wateule na waelewa huwezi kuwayumbisha, sisi tunaangalia mchango wa lissu duniani wala sio unachokifikiria wewe ok!!! Think beyond unafaa kusaidia wasiojua lakini by the face of it yo a big hypocrite
Mabomu atupe Lema na mbowe halafu wasingiziwe wengine we akili yako ipoje bana.Wakijirekebisha wakatoka kwenye ukawa, mtaacha kupiga mabomu na kuua watu kwenye mikutano yao, mtaacha kuwabambikizia kesi, mtawashitaki wenye wa kwenye list of shame. Mikataba mnayofanya siri mtaiweka hadharani. Ni kweli mko tayari kwa siasa za ushindani bila kutumia jeshi?
Chadema pale ilipofikia ilikuwa haihitaji CUF au NCCR kupata nguvu, ilitosha kabisa wakasonga mbele na kufikia lengo
wameongozwa na majungu, wivu, unafiki, fitina na uzushi. wamefikia mafanikio waliyoshindwa kuyabeba na kuendelez
Brand name, charter la chadema, au umaarufu wa chadema kipindi hicho ulitosha kabisa kuwaondoa CCM madarakani
wakabweteka, wakashauriwa hawakusikia, wakawapa vichwa viongozi wao ambao hawashauriki; sasa yanatokea haya ya kutokea kwa aibu kubwa na huzuni wamefika hapa
UKAWA automatically inaiua chadema, CUF na NCCR...brand name na power za hivi vyama zinapungua, huku muungano wenyewe ukitawaliwa na historia ya kudharauliana, kutukanana, na kejeli ambazo bado hazijafutwa
Kinachoonekana ni kuwa hawa wana tamaa ya madaraka tu!!! kulifuta hili gumu sana
Chadema bado wana chance ya kubadilika na kurudi walikotoka, watatue matatizo yao amicably, it is possible
Povu mbona lakutoka kumtetea Lissu ? Lissu ni kama kuku wa kuchora hafai kwa nyama, hawiki, hatagi mayai nk
Hii inaonesha kwamba au Juliana Shonza anatumia ID yako au wewe unatumia ID ya Juliana! sasa jaaribu kusoma mawazo duni ya huyu mjinga mwezio na ulinganishe na haya ya kwako;Lissu bungeni anasema kuwa suala la hati ya muungano limekwisha yaani amekubali kushindwa!Lakini baada ya hapo mwanasheria huyu akachemsha.
Anasema muungano unawaonyesha waasisi wawili tu yaani Mwl.Nyerere na Mzee Karume huku ukiacha kuwatambua watu muhimu walioshiriki kuunda muungano kama vile Oscar Kambona,Job Lusinde,Hanga na Othman Sharrif.
Watanzania waambiwe ukweli wa kwanini watu hawa wamekuwa sidelined wakati mchango wao ulikuwa mkubwa.Bwana Lissu toa kwanza kibanzi kilichopo machoni pako kabla ya kutoa vibanzi vilivyopo kwenye macho ya wenzio.
Mbele ya safari masuala hayo hayo ya kuwa sideline watu yatakuja kuwaandama wote mnaowanyonga kisiasa vijana wenzenu wa Chadema kina Zitto Zubeir Kabwe,Habib Mchange,Dkt.Kitilla Mkumbo na Samson Mwigamba huku wakiwa wametoa mchango mkubwa sana kwenye chama cha Chadema na kwenye Taifa.
Badala ya kujenga mshikamano ndani ya chama cha Chadema,mnakimbilia kujenga mshikamano na vyama ambavyo havina hata nguvu ya kisiasa nchini!Yetu macho!
kumekuwepo na kampeni ambayo inafanywa kwa mgongo wa siasa, kampeni ya kumtuhumu na kumnyooshea kidole Baba wa Tafa Mwalimu Julius Nyerere kuwa amewasideline wapigania uhuru wengine wa nchi hii na wajenzi wa Taifa la Tanzania, ambao amewataja kwa majina takriban watu sita akiwemo Kassim Hangwa, Oscar Kambona, Mzee Ndugai na wengineo.
Kanuni za kawaida za Usahihishaji wa jambo, zinamtaka msahihishaji awe mtu safi ambae na anayelifahamu jambo analolisahihisha kwa undani wake. Itakuwa ni jambo lililokosa mashiko, na ukosefu wa busara kwa Mkosoaji kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzake kisha akaacha boriti iliyokuwemo jichoni mwake. Ni kujitoa akili na kutofikiri sawa sawa kudhani kuwa unaweza kuwa na uhalali wa kuhamasisha usafi ikiwa unaishi jalalani
Mheshimiwa TUNDU anapata wapi uhalali wa kuhoji juu ya kuwasideline watu hao ikiwa ametokana na Chama na yeye ni mshiriki namba moja wa kuendesha zoezi la kuwasideline waasisi na wajenzi wa Chama hicho kwa manufaa yake binafsi na watu wa kundi lake.
Ni umbumbumbu na kujitoa fahamu kudhani kuwa anao uhalali wa kumnyooshea Kidole Baba wa Taifa kwa jambo ambalo halijui na wala hana ujuzi nalo, unamnyooshea kidole Muasisi wa Taifa kwa jambo ambalo msingi wake ni dhana (assumption)..?
Mheshimiwa TUNDU anapata wapi uhalali wa kuwanyooshea kidole na kuwashughulikia watu kama Zitto Kabwe ama Dr Mkumbo kwa tuhuma za kutengeneza kwa kutumwa na mtu..? watu ambao nguvu zao katika Ujenzi wa Chama hicho hazina mfano wake, nakumbuka kipindi ambacho Zitto alikuwa akilala na kuamka UDSM kuhamasisha harakati za kukijenga Chama kwa ku-recruit member wapya wasomi ambao watakuja kutoa mchango mkubwa ndani ya Chama hicho.,anatoa uhalali wapi..? nani anampa Mheshimiwa TUNDU uhalali huo..?
BOb Makani ni mmoja wa waasisi wa Chama hicho, lakini kwa kuwa hakuwa wa ukanda fulani na hatokani na familia fulani ameachwa na hazungumzwi hata kwa bahati mbaya, hakuna hata jambo moja litazungumzwa sio ndani ya vikao vya chama hicho, bali hata kwa hadhara ya wanachama wa chama hicho.,lakini kuonyesha kuwa Kiongozi huyo muasisi alikuwa sidelined ni pale ambapo hata alipofariki ushiriki wa Chama na viongozi wa sasa ulikuwaje..?
Ni aibu na umbumbumbu kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzako hali ya kwako kuna boriti.
Dr Slaa, marando, Tundu Lissu ambao hapo awali walikuwa kwenye vyama vingine na baada ya kuchokwa kwenye vyama vyao vya awali wakakimbilia Chadema wanapata wapi uhalali wa kuwa-sideline waasisi wa Chama hicho, watu ambao mpaka leo wametunza kadi za vyama vyao vya awali kwa madai kuwa wametunza kumbukumbu kwa ajili ya wajukuu zao wanapata wapi uhalali wa kumfukuza mjenzi ambae kwa namna yeyote hakuwahi kujiunga na Chama chochote cha siasa kabla na kwamba nguvu zake zote za kisiasa amezitumia katika Ujenzi wa Chama..,wanapata wapi uhalali wa kusideline watu hawa..?
Mheshimiwa TUNDU LISSU has never been right to accuse any of the founders wa TAIFA hili.,na laana ya kuwatukana waasisi na kuwatuhumu kwa maneno ya uzushi na uzandiki itamtafuna milele.
Polisi wa CCM wanamuogopa Lema? au hawajui? kwanini wewe usipeleke ushahidi? au ndio ile tabia yenu ya kuzua mambo?Mabomu atupe Lema na mbowe halafu wasingiziwe wengine we akili yako ipoje bana.
wabunge 17 chadema ni act
Pumba tupu,wasaliti hawawezi kuachwa kamwe! Toeni povu sana CDM itazidi kuwaumiza vichwa