hapana Gemmy nimekuwa mama bora kwa family najali kuanzia mavazi malazi na chakula lakini tangu nakutana nae alikuwa na maisha yake hayo,na kama nilivyosema nimekuwa naishi kwa kuidanganya nafsi yangu
The Boss nina kazi na mshahara mzuri tu ,ndio maana nikaomba kama kuna maombi nifunguliwe sijielewi na huu ni ukweli toka moyoni,Na kumwambia mme wangu simpendi kwa miaka yote hiyo hatonielewa hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.