Recent content by Ndoa ya Mkeka

  1. N

    Huyu mtanzania mwenzetu, tumsaidie

    Ahsante Kwa ushauri wako ndugu
  2. N

    Huyu mtanzania mwenzetu, tumsaidie

    Ni bint Ester Saki mkazi wa Kishapu Shinyanga anasumbuliwa na kidonda sehemu za USO anahitaji Masada wako akapatiwe matibabu. Kwa msaada pigs simu no 0768140069.
  3. N

    Zitto Kabwe anaishi sehemu gani Dar es salaam?

    Akiunganisha hapo lazima afike Mtwara.
  4. N

    Je, ni sahihi Mwanajeshi na Polisi kutolipa nauli?

    Mwanajeshi akivaa combat haruhusiwi kuweka pesa mfukoni.
  5. N

    Natafuta kazi ya Secretary, nipo Arusha

    Kama upo tayari nina Stationary pia nahusisha public writter ipo Kwa Mromboo kazi siku 6 kwa wiki nitakulipa laki 1 kwa mwezi.
  6. N

    Nafasi (4) za kazi Ulinzi - Eneo la Viwandani Keko

    Askari wa miguu ndo wakoje tafadhal ufafanuzi.
  7. N

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Slaa hata mwenyekiti wa mtaa hafai.
  8. N

    Kwa Waliopitia JKT tu.....!!!!

    Tujadili escrow kwanza bilion 300? Bilion! Jamani bilion 300? Duh
  9. N

    Kituko hospital ya Kisiwani Kigamboni

    Mimi kama mwalimu sijapendezwa na uandishi wako.
  10. N

    Kitimoto iringa

    Huko mtaani umekosa wala ngurue wenzio ukawauliza? Watanzania sijui tukoje
  11. N

    Mlevi amkojolea mama mkwe akidhani ni mkewe

    Story za kimbea mbea, mwanaume amka nchi inafisadiwa
  12. N

    Inahusu malezi ya pamoja

    Ngoja anye au akojoe uone anavyotafutwa mama yake.
  13. N

    Kuanzia sasa na mimi nakua na roho mbaya

    Ni kweli ndugu yangu,halafu kuna mmoja kanipigia simu leo anaenda kwa demu wake Nairobi.
  14. N

    Kuanzia sasa na mimi nakua na roho mbaya

    Nitatafuta njia nyingine ya kupata malipo toka kwa Mungu!
  15. N

    Kuanzia sasa na mimi nakua na roho mbaya

    Katika jamii tunazoishi tumezoeshana hivyo kuna mtu/watu wa karibu ambao hua mnapeana ushauri msaada ktk mambo mbalimbali ya kimaendeleo,mtu anakwambia hana pesa wakati huohuo mipango yake ya pesa nyingi anaendeleza hapo utamuelewaje?
Back
Top Bottom